Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Uko kwenye ndege. uta angalia mawingu siojf kuna watu mnapanda bus si mlisema mnatumia ndege
Uwa unataka utongozwe bro .are you normal ?Acha udomo zege.
ndio na kuyagusaUko kwenye ndege. uta angalia mawingu sio
Tabia ya ovyohuwa nakasirika sanaa niki kuta mtu kakaa kwenye siti yangu .hii tabia ina kwaza sana
me nawaacha naona kama ni watu wasio staharabikaHuwa mi nawaambia anipishe.
Kama umeshindwa kuongea naye kuhusu seat, utaweza kumtongoza?Uwa unataka utongozwe bro .are you normal ?
Ita konda akuoneshe siti yako.Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.
Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .
Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.
Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
ume ona kwenye mada ana ongelewa mwanamke ? Its better to remain Silent and be Thought a Fool Than to Speak and Remove All Doubt. Ona sasa tumejua capacity yako ya kufikiri ni - 1Kama umeshindwa kuongea naye kuhusu seat, utaweza kumtongoza?
Nme toa kero hili walio humu wenye tabia kama hizo wajirekebishe . Sija taka kuishia kwa mtu mmoja wakati kuna sehemu kama JF ya kuweza kurekebisha watu zaidi ya 100+Unashindwa nini kumwambia yanini kukaa na manun'guniko moyoni
Your IQ is too low to relate. You're an embarrassment.ume ona kwenye mada ana ongelewa mwanamke ? Its better to remain Silent and be Thought a Fool Than to Speak and Remove All Doubt. Ona sasa tumejua capacity yako ya kufikiri ni - 1