Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Anza kwa kumuuliza "samahani seat yako ni namba ngapi?"

Akisema, mwambie yangu ni hii, hivyo umekaa kwenye seat yangu... Au hio sio namba ya seat yako, seat yako ni hii Akibisha muite konda wa gari.

Mbona issue zingine simple tu mzee..
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Unamuita TU konda wa gari unamuomba akuoneshe siti Yako kama ilivyokwenye tiketi. Kondakta atakuja kumuelewesha kuwa hiyo sio sehemu yake . Kisha atamuonesha anapotakiwa kuketi. Haina haja ya kugombana na jirani Yako ktk safari na mtakua hapo pamoja Kwa muda mrefu,. Muachie hiyo kazi konda
 
Hiyo sio kero, Kero ni pale unapowekwa kwenye seat jirani na bonge nyanya
ft.jpg
 
namwambia tu Oya mwamba hiyo siti ni yangu, anabishaje sasa, akibisha aonyeshe tiketi yake mbona jambo jepesi sana, sema labda wanawake unawavungia hasa ukiona hana mtoto
 
Kama kumwambia mtu akupishe seat unashindwa, sasa utaweza kusimama na kutoa maelekezo siku ukiwa na familia kweli mkuu...☹️
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Ya kwangu utanipisha, akili yangu naijua mwenyewe.
Nitakupa neno moja unaweza kushuka hata kwenye gari...ni kipawa tu😂
 
Mtu aliyekaa kwenye seat ambayo sio yake anakua amefanya makusudi,na hii ni kukosa ustaarabu na kukosa heshima kwa mwenye seat yake,

So,mtu wa hivyo usimuonee aibu hata siku moja,ukimuignore ndio itakua tabia yake,mchane wazi kabisa kua hiyo seat sio yake na anatakiwa akupishe,kisha acha stori nae mpaka mwisho wa safari coz huyo ni mpumbavu huna cha kuongea nae cha maana.
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe ji

Anza kwa kumuuliza "samahani seat yako ni namba ngapi?"

Akisema, mwambie yangu ni hii, hivyo umekaa kwenye seat yangu... Au hio sio namba ya seat yako, seat yako ni hii Akibisha muite konda wa gari.

Mbona issue zingine simple tu mzee..
Siti ya dirishani sikai hofu kupigwa pasi
 
M
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Me huwa namtoa tu mkuu hiyo sio siti yako simama kakae kwako.
 
Kuna siku nilikaa siti ya dirishani mwenye siti akaja akaogopa kunisemesha akaenda kumfata konda, konda akaja kunitoa...

Sasa katikati ya safari kumbe lile dirisha la upande wake alifungi vizuri, alipigwa na upepo karibia afeee nailikua usiku...

Ikabidi aniombe niamie pale apate unafuu, mimi nikaamia iyo siti ya dirishani pale panapotoa upepo nikachomeka masai shuka upepo ukakata...
Cha kushangaza akawa ameona wivu tena ila ninacho shukuru alikuja akawa pisi yangu kama miezi miwili
 
Tabia hiyo wanayo sana wanawake.Na bado kama ana mtoto anakuajiri kwa muda uwe yaya wake.
Aseee nilishawahi kupewa majukumu ya kulea kwa masaa mengi sana ya ile safari
Mbaya zaidi watoto wanakula kila muda huku mimi nikiwa kinyume chao....sipendi kabisa kula safarini na huwa naomba nisikae na mtu anayekula kula hovyo

Yule mama alikata siti moja wakati ana watoto wadogo wawili...wabongo safari ya kustaarabika bado ni ndefu sana!!!!

Komenti yako imeibua hasira upya ya ile safari
 
Back
Top Bottom