Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kero ya kukuta mtu kakaa kwenye siti yako ya dirishani kwenye Bus.

Kwani si kuna manifest? Ticket si inaonyesha namba ya siti? Si unamwita konda tu anamalizana naye wewe huongei kitu.
 
Mtu aliyekaa kwenye seat ambayo sio yake anakua amefanya makusudi,na hii ni kukosa ustaarabu na kukosa heshima kwa mwenye seat yake,

So,mtu wa hivyo usimuonee aibu hata siku moja,ukimuignore ndio itakua tabia yake,mchane wazi kabisa kua hiyo seat sio yake na anatakiwa akupishe,kisha acha stori nae mpaka mwisho wa safari coz huyo ni mpumbavu huna cha kuongea nae cha maana.
Sahihi
 
Ila ukikuta pisi kali unatulia 😂😂

Kuna siku nilipanda bus nikakaa siti ya dirishani sio yangu ila jamaa akawa humble na vocha nilinunuliwa acha chakula cha njiani nilifaidi 🤣🤣🤣
Aliomba namba nikamwambia anipe zake tulivyoshuka nikafuta 😹
Kwahiyo we ni pisi kali?
 
Sasa kwa nini usimwambie mtu akupishe?mbona ni jambo halina ubishi,japo sioni umaana wa kukaa dirishani magari yenyewe nayopanda hayafungui madirisha
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Bro unasumbuliwa waje na vitu vidogo kama hivyo? Kwani, hiyo safari unaenda South Africa, au, ulaya?
Sasa kama kitu kidogo kama hiki kinakusumbua, na unaogopa kukitatua huku unatabasamu, utaweza vipi kutatstua changsmoto kubwa za maisha kama kuanzisha kampuni ukaajiri vijana 50+,?
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Ujinga wako mwenyewe kushindwa kumuambia
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Si unamwambia tu kuwa iyo Siti no ni yako akupishe.

Ila mimi kukaa Dirishani nishaachaga zamani mabasi wanabana sana Siti na huu urefu wangu wa 170cm...miguu inabanwa.
 
Mna deal vipi na hawa watu maana kusafiri ni starehe pia.

Yaani una chagua siti yako ya dirishani una lipia ili kesho usafiri kwa raha uki enjoy mazingira afu una kuta mtu kakaa kwenye iyo siti na wala hajiongezi kabsa ana jikausha kimya as if hamna kilicho tokea .

Binafsi hili jambo lina nikera sanaa na ubaya huwa siwezi kumwambia mtu atoke kwenye siti yangu kuepusha maneno.

Ila watanzania mjaribu kuwa wastaarabu kama una jijua umechelewa kukata ticket na uja kata ya dirishani ni kheri uombe au ukae siti yako sio una jiwahisha mapema afu una jiona mjanjaa kumbe jinga tu.
Unamwambia tu sio kwa ubaya ila ndio siti yako, sasa hapo abiria tu unalalamika je ukijikuta siti moja na mama mwenye watoto je?

Mbona utaomba po


Ila yote heri muhimu ni kujiweka katika nafasi yake, maana sometimes uchumi mgumu ni ngumu kwa mtu kumkatia siti mtoto na yeye hasa kwa safari ndefu hivyo kuna mida ikitokea unakuwa mpole na kumsaidia kubeba unambeba tu hamna namna


Mwisho wa siku msafiri kafiri, chochote unachokutana nacho njiani vumilia tu mwisho wa safari unarejea zako mtaani maisha yanaenda
 
Anza kwa kumuuliza "samahani seat yako ni namba ngapi?"

Akisema, mwambie yangu ni hii, hivyo umekaa kwenye seat yangu... Au hio sio namba ya seat yako, seat yako ni hii Akibisha muite konda wa gari.

Mbona issue zingine simple tu mzee..
The issue is very simple man.

Ni suala la kumuambia tu kwamba Umekaa kwenye siti yangu ambayo nimeshaikatia tiketi,je nawe ulipewa siti hii hii ?

Nilifanya hivyo jamaa akaniambia "haina shida kiongozi nilikaa kwa sababu bado haujafika,karibu.

Akanipisha nikakaa zangu tukaendelea nabstori zingine.

Angenijibu kwamba kapewa siti ile ile basi tungemuita konda asolve mgogoro.
 
Siti ya dirishani haitufai watu wenye miguu mirefu bora hata huku upande mwingine unaweza nyoosha miguu !

Binafsi nikikaa dirishani huwa nachoka zaidi.
Hata nikiwa nabook huwa sichukui seat ya dirishani
Wazowefu wa safari wengi wao huwa hawapendi siti za dirishani, chunguza hilo utakuja niambia! Sasa hawa wasafiri wa kubahatisha huwa wanapenda sana siti za dirishani!!
 
Back
Top Bottom