Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

Kero ya Mabasi ya Mikoani kuchochea udini

mbona kwenye simu zenu ringtone ni nyimbo hizo hizo za injili?
 
Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu

Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi

Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Wasio waumini wa kiarabu, rekebisha sentesi, kuna waarabu wakristo pia
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Nunua lako, weka adhana 24x7, kama wakristo watakuuliza....
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Kwa hiyoo kwa akili zako unataka waweke kaswidaa!!?,,ili majini yaangushe gari
 
Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Hawa watu watakuja kujuta sana
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Tembea kwa miguu, au nunua gari lako..
 
Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.

Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.

Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Ni Kinga dhidi ya ajali na matatizo mengine ya barabarani maana ukishalitaja jina TAKATIFU la Yesu majini YOTE yanayosababisha ajali husambaratika. Sasa Kuna dini nyingine Wana Aya na sura za majini kwenye vitabu vyao ukiweka kwenye gari si unayavutia mapepo wachafu hayo?
 
Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Hizi ni swaga kama swaga zingine tu🚮
 
Mabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu

Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi

Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Umeandika ujinga
 
Ni Kinga dhidi ya ajali na matatizo mengine ya barabarani maana ukishalitaja jina TAKATIFU la Yesu majini YOTE yanayosababisha ajali husambaratika. Sasa Kuna dini nyingine Wana Aya na sura za majini kwenye vitabu vyao ukiweka kwenye gari si unayavutia mapepo wachafu hayo?
Ulicho andika nafikiri pia wewe ni pepo mchafu
 
Dini msizifate kwa mihemko. We muislam mwenye gari kaweka injili, isikusumbue, we mkristu mwenye gari kaweka kaswida ama quraan, ama mawaidha, isikusumbue fanya yako. Umeshindwa kabisa usipande gari hilo siku nyingine.
 
Wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani ni Wakristo .Waislamu ni wachache mno waweza Kuta basi Zima wako wawili tu

Waislamu si watu wa kusafiri mikoani.Hata kwenye ndege za Tanzania wapandaji wengi ni Wakristo
Thibitisha .
 
Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Nani amekudanganya hivyo?!....
 
Back
Top Bottom