Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasio waumini wa kiarabu, rekebisha sentesi, kuna waarabu wakristo piaMabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu
Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi
Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Nunua lako, weka adhana 24x7, kama wakristo watakuuliza....Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini
Mkuu vipi,,,?Huko sindo balaa kabisa tayari utawachokoza Chadema
Kwa hiyoo kwa akili zako unataka waweke kaswidaa!!?,,ili majini yaangushe gariMabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Hawa watu watakuja kujuta sanaNadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Tembea kwa miguu, au nunua gari lako..Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Ni Kinga dhidi ya ajali na matatizo mengine ya barabarani maana ukishalitaja jina TAKATIFU la Yesu majini YOTE yanayosababisha ajali husambaratika. Sasa Kuna dini nyingine Wana Aya na sura za majini kwenye vitabu vyao ukiweka kwenye gari si unayavutia mapepo wachafu hayo?Mabasi mengi ya kwenda Mikoani huwa yanafungulia nyimbo za Injili kwanzia mwanzo hata mpaka mwisho wa safari.
Kitendo cha kufungulia nyimbo za Injili sio jambo baya lakini mara nyingi nyimbo hizo zinakuwa zimeegemea dini moja na kubagua nyingine kitendo ambacho kinachochea udini.
Vilevile sauti kubwa kupita kiwango jambo ambalo linawaumiza abiria wengine wanaohitaji umakini.
Dini inahitaji uwe na uelewa binafsi wa kijitegemea, vinginevyo utaishi kwa chuki na mwisho wa siku unajilipua na bomu.Hata wapige na adhana na chetezo humo ndani hainiathiri chochote.
Hizi ni swaga kama swaga zingine tu🚮Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante
Umeandika ujingaMabasi ya kwenda Tanga mengi yanapiga nyimbo za kiarabu
Hii umesababisha watu wasio waumini wa kiarabu wamekuwa wakizikwepa hizo basi
Iko hivi maudhui ya kiislam hayasikiliziki kwasababu siku zote yanahimiza chuki
Ulicho andika nafikiri pia wewe ni pepo mchafuNi Kinga dhidi ya ajali na matatizo mengine ya barabarani maana ukishalitaja jina TAKATIFU la Yesu majini YOTE yanayosababisha ajali husambaratika. Sasa Kuna dini nyingine Wana Aya na sura za majini kwenye vitabu vyao ukiweka kwenye gari si unayavutia mapepo wachafu hayo?
Thibitisha .Wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani ni Wakristo .Waislamu ni wachache mno waweza Kuta basi Zima wako wawili tu
Waislamu si watu wa kusafiri mikoani.Hata kwenye ndege za Tanzania wapandaji wengi ni Wakristo
Hakika mkuu mambo mengine hayahitaji hata kuanza kuumiza kichwa, ni kujali mambo yako tu.Dini inahitaji uwe na uelewa binafsi wa kijitegemea, vinginevyo utaishi kwa chuki na mwisho wa siku unajilipua na bomu.
Nani amekudanganya hivyo?!....Nadhani unaufahamu tu mdogo Juu ya tofauti Kati ya dini na Imani
Ila nikuambie Na maneno haya Yakae Moyoni mwako. Kuna siku utatamani laiti Ningemuamini Yesu Kristo Nilipokuwa Duniani Wakati huo kutakuwa Hakuna Namna tena. Yesu Ndie njia kweli na uzima
Mwingine ni uongo wa shetani.
Nikuombe Wacha wengine wasikilize hata kama wewe hutaki Kuliko kuongeza hila zingine huku mtandaoni. Asante