Shule nyingi za msingi za serikali siku hizi zimejaa michango mingi sana ambayo inaleta matabaka kwa watoto!
Walimu wanachangisha hela ya mitihani kila siku 1000.
Ndoo mpya kila term,
Fagio jipya kila mwezi,
Hela ya safari (tour) kwa mgongo wa hiari huku nyuma wanawapiga mkwara watoto kwenda!
Vitabu vidogodogo wanalazimishwa kununua n.k
Hii tabia ukihoji wanasema ni makubaliano ya kikao cha wazazi lakini ajabu kila mzazi analalamika! Sasa hiko kikao huwa wanakalia wapi?
Mambo haya yameshamili sana na maafisa elimu wapo, wakurugenzi wapo, DC na RC wapo, mawaziri wapo, tamisemi wapo, Yaani ni kero mtupu lakini kiiimyaaa!
Walimu wanachukua mikopo halafu wanarudi kulalamika mshahara hautoshi wanasahau mikopo ya anasa ndo tatizo!
Ugumu wa maisha wao kutwa kuchangisha michango isiyo na kichwa wala miguu kila siku!
Kwanza tuition za kulipia za nini kwenye shule za serikali?
Walimu wanachangisha hela ya mitihani kila siku 1000.
Ndoo mpya kila term,
Fagio jipya kila mwezi,
Hela ya safari (tour) kwa mgongo wa hiari huku nyuma wanawapiga mkwara watoto kwenda!
Vitabu vidogodogo wanalazimishwa kununua n.k
Hii tabia ukihoji wanasema ni makubaliano ya kikao cha wazazi lakini ajabu kila mzazi analalamika! Sasa hiko kikao huwa wanakalia wapi?
Mambo haya yameshamili sana na maafisa elimu wapo, wakurugenzi wapo, DC na RC wapo, mawaziri wapo, tamisemi wapo, Yaani ni kero mtupu lakini kiiimyaaa!
Walimu wanachukua mikopo halafu wanarudi kulalamika mshahara hautoshi wanasahau mikopo ya anasa ndo tatizo!
Ugumu wa maisha wao kutwa kuchangisha michango isiyo na kichwa wala miguu kila siku!
Kwanza tuition za kulipia za nini kwenye shule za serikali?