Kero ya Walimu msingi kudai michango mingi; ni makubaliano ya kikao feki cha wazazi feki

Kero ya Walimu msingi kudai michango mingi; ni makubaliano ya kikao feki cha wazazi feki

Yaani unataka mwanao apewe kila kitu na serikali? Acheni uvivu wazazi mfanye kazi msapiti kidogo
Well said mkuu...Tatizo la siku hizi wazazi ni watoto ndo maana baada ya kupambana na majukumu yao wana kazi ya kulalamika.
 
Well said mkuu...Tatizo la siku hizi wazazi ni watoto ndo maana baada ya kupambana na majukumu yao wana kazi ya kulalamika.
Wazazi ni watoto au siyo? Hadi mjomba wako ni mtoto
 
Mambo kama haya ni kero sana kwa wazazi wasona uwezo

Ivi mkuu unaweza kweli ukawa huna uwezo kabisa kabisa wakusomesha mtoto wako mwenyewe kwenye shule za serikali? Hii sentesi em ifikirie tena na tena nini maana yakuwa mzazi??? Hutaki kuwajibika kwa mtoto wako mwenyewe na unalalamika??????????

Hayo uliyo andika ni madogo mno hata elfu50 haifiki, hao walimu unao wazungumzia hutaki kabisa wapate motisha yakufanya kazi?? Izo chenchi chenchi ndo zinawasaidia na wao mambo madogo tusishupaze shingo kwenyw vitu vidogo vidogo, najua ni january lakini tusikubali kuzalilika kwa watoto wetu wenyewe,......

Sawa serikali imesema elimu bure lakini hutaki kutoa hata buku mkuu? Unasema wazazi hawana uwezo ulizaa watoto kwann? Swala la mzazi kwa mtoto kuhusu shule ni wajibu, tuendelee kutimiza wajibu bila malalamikoo
 
Yaani fagio na ndoo ndio waalimu wanapiga, kwa Nini msishauri hao watoto wenu wakifanya usafi warudi na ndoo na mifagio nyumbani kila siku ili kuepuka waalimu kupiga? Na hio hela ya copy za mitihani, mzazi mmoja mwenye photocopy ajitolee wenzie wamchangie awe anadurufu yeye hio mitihani yote
Halafu wazazi wataitana tena kusahisha hiyo mitihani?
 
Ivi mkuu unaweza kweli ukawa huna uwezo kabisa kabisa wakusomesha mtoto wako mwenyewe kwenye shule za serikali? Hii sentesi em ifikirie tena na tena nini maana yakuwa mzazi??? Hutaki kuwajibika kwa mtoto wako mwenyewe na unalalamika??????????

Hayo uliyo andika ni madogo mno hata elfu50 haifiki, hao walimu unao wazungumzia hutaki kabisa wapate motisha yakufanya kazi?? Izo chenchi chenchi ndo zinawasaidia na wao mambo madogo tusishupaze shingo kwenyw vitu vidogo vidogo, najua ni january lakini tusikubali kuzalilika kwa watoto wetu wenyewe,......

Sawa serikali imesema elimu bure lakini hutaki kutoa hata buku mkuu? Unasema wazazi hawana uwezo ulizaa watoto kwann? Swala la mzazi kwa mtoto kuhusu shule ni wajibu, tuendelee kutimiza wajibu bila malalamikoo
Maskini akipata ............... , aloshiba hamjui mwenye njaa!
Kama wewe unapata laki kuna watu wanapata buku!
Kuna wazazi wanakibarua wanalipwa elfu 3 kwa siku au elf 7 humohumo alishe familia, avae, nauli yake, nauli ya watoto, sasa huyu akiwa na watoto wawili halafu kila siku watoto wabebe michango huoni ni maumivu?
Ukipata were siyo wote wanapata
 
Back
Top Bottom