Kero za kudate mume wa mtu

Dah To yeye ukoje lkn?
 
Wadada hawajui tu, ukishakuwa 35+ ni ngumu sana kupata wa peke yako. Otherwise usijihusishe na ngono, kitu ambacho hawawezi.
Yaani legend utasema agent wa lucifer,mi kila nikipreach wadada Waterden mama unawakatisha tamaa tuπŸ˜…
 
Yaani legend utasema agent wa lucifer,mi kila nikipreach wadada Waterden mama unawakatisha tamaa tuπŸ˜…
Sasa kwa nini tuongee uongo madam, demand inapungua kwa wanawake kadri umri unavyokata. At 35+ ni mwendo wa kushare tu, ibahatike mtu akutane na 50s au 60s aliye mgane, otherwise ni maumivu, hao 40s tu wanataka vitoto vya afumbili(ukiniondoa mimi🀣)
 
Ni tamaa tu mkuu, ila ukiamua kutochepuka inawezakana. Yan kabla hujachukua maamuzi ya kuoa kula sana papuchi. Ukiamua kuoa tulia mzee. Sometimes unajiletea nuksi kwny life lako kutokana na hii michepuko.
Fanya yako mkuu.
 
Una akili sio huyu kichwa maji mleta uzi anakuja jukwaani kabisa kujionyesha kuwa yeye ni kahaba. Ujinga mtupu
A hoe can never be unhoed
Utapasuka mishapa ya medulla damu ichanganyikane kwenye ubongo upate paralysis,why this panic though?dude take a chill pill ,chillaxxx!!....hoe ain't royal,did they did you some shit?
 
Yaani umepita na wote wa aina hizo, huo uch.i ni kabambe!
 
Unaongea culture za kizungu'nini?

Waafrika mila na desturi zetu ni mitala.

Ukiachana na mambo ya uhawara, je wewe mitala halali hauwezi oleka?

Nauliza, mtu aje kakupenda analia kabisa na mahari anaenda toa, hauwezi mkubalia kwa sababu tu eti kaoa wakati mila zetu zinaruhusu?

Embu funguka na hili ili niutathimini msimamo wako mdada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…