Kero za kudate mume wa mtu

Sijaongelea mitaala bro...nimeongelea mume wa mtu,yaani kuwa kimada.
 
Mgane fresh japo nae hana jema,ukipika pilau anaanza kulifananisha na la marehemu mkewe,....hivi Legend ina maana kweli hamna late 40z ambao ni ma senior bachelor kweli?
 
This is Very sad story
 
Sijaongelea mitaala bro...nimeongelea mume wa mtu,yaani kuwa kimada.
Hilo nililiona halina mashiko ndonikaisongesha mada kwenye mitala, vyote lakini si vinapikika chungu kimoja kihisia?

Uhawara huo ulioongelea mara nyingi huwa umelenga manufaa kwa pande zote.

Sasa hauwezi ku 'deep in' kihisia kwa sababu unaelewa dhahiri kuwa mtu huyo uliyenaye ni mpita njia.

Lakini kwa terms of maslahi, mbona mnainjoi na kuburudika tyuu?

Tatizo tulilonalo wengi, kila tuonjapo asali tunataka kuchonga na mzinga, mwisho wa siku ni maumivu ya kichwa na moyo.
 
Kuna Ile ya kushushwa kwenye Gari mkewe akipiga video call...watu wanaodate Na waume za wary hawaenjoy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…