FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,916
- 3,850
Kwahiyo mtu ameoa, halafu anakudanganya kwamba anakupenda kuliko mkewe na wewe unamuamini? 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa,muongezee mtoto wa pili mkuu. Nimezaa na mmoja,yeye muda wote ana hasira na mke wangu tuhasirw
Mimi mkewe hanijui simjui na muheshimu sana na Wala sitaki anijue kikubwa naangalia furaha yangu tu.Safi kabisa,muongezee mtoto wa pili mkuu. Nimezaa na mmoja,yeye muda wote ana hasira na mke wangu tu.
Wewe unajitambua mkuu. Pokea maua yakoMimi mkewe hanijui simjui na muheshimu sana na Wala sitaki anijue kikubwa naangalia furaha yangu tu.
Wee ni KE? uwiiiiiihMume wa mtu miaka 12 na mtoto mmoja sijawai sikia anazungumzia familia yake Wala mkewe ki vyovyote vile sisi tupo bize na mambo yetu.
Njoo kwangu mimi sijaoaMimi mmenishinda.
Akileta story za mkeo tafuta namna kuepusha, ukiona anazidisha mwambie ukweli, hatupo hata kumjadili wife. It's you n' me.Safi kabisa,muongezee mtoto wa pili mkuu. Nimezaa na mmoja,yeye muda wote ana hasira na mke wangu tu.
Mkuu,yaan hata nikisema niwapitie na gari,mwanamke ataanza kusema ziwezi kupanda gari anayo panda mke wako,na mtoto wangu hawezi kupanda hilo gari analo panda mkeo na watoto wenu..yeye halimuhusu. Nmepanga nimpotezee,maana anajisahau hata hela ninazo mpa zinatoka kwenye familia yangu.Akileta story za mkeo tafuta namna kuepusha, ukiona anazidisha mwambie ukweli, hatupo hata kumjadili wife. It's you n' me.
Ok sawa mkuuMimi sipendi unafiki na kujipendekeza,
Ubaya uko wapi kwenye hayo maswali yangu?
Yani unashangaa maswali yangu ila humshangai mleta mada kuanzisha uzi wa kujitapa kua anatoka na waume wa watu?
Nimekushangaa sana kunishangaa mimi badala ya kumshangaa mleta mada!
Hapo kazi unayo, kuna wadada vichefuchefu sana. Ukiona hivyo anataka umnunulie gari yake.Mkuu,yaan hata nikisema niwapitie na gari,mwanamke ataanza kusema ziwezi kupanda gari anayo panda mke wako,na mtoto wangu hawezi kupanda hilo gari analo panda mkeo na watoto wenu..yeye halimuhusu. Nmepanga nimpotezee,maana anajisahau hata hela ninazo mpa zinatoka kwenye familia yangu.
Uliahidi mwezi wa saba utamuoa ila kimya, Mercy anaendeleaje?😀😀😀😀😆😆😆 Mimi sitacheat nikishamuweka Mage wangu ndani
Inaumiza sana mkuu. Wewe hukutani nayo mzee mwenzanguHapo kazi unayo, kuna wadada vichefuchefu sana. Ukiona hivyo anataka umnunulie gari yake.
Mercy hapoi hata asubuhi leo kanichek ila wanawake mateso wanajitakia wao, Mage kuna mambo hayakwenda kama tulivopanga ila mipango ya ndoa ipo palepaleUliahidi mwezi wa saba utamuoa ila kimya, Mercy anaendeleaje?
Mimi nachagua sana mkuu, yaani hadi nijiingize kwa mtu nishajiwekea walau 80% kuwa anafaa.Inaumiza sana mkuu. Wewe hukutani nayo mzee mwenzangu
Safi kabisa mkuu. Japo wanatuambia tutulie njia kuuMimi nachagua sana mkuu, yaani hadi nijiingize kwa mtu nishajiwekea walau 80% kuwa anafaa.
KEWee ni KE? uwiiiiiih
Hiyo biashara haipo, ila wanaoweza kutulia watulie tu. Nilitulia for 6yrs, ila mambo ya kupangiwa na kupewa kwa ratiba yalinishinda.Safi kabisa mkuu. Japo wanatuambia tutulie njia kuu
Huyo kichefuchefu na wanawake Kama hao huwa warogaji wazurii sana jipange,anachukia familia yako kwani ndiyo ilikutuma umfanye mchepuko hata iwe vipi mkeo atabaki kuwa mkeo na yeye mchepuko tu Kama alikubali kuingiza kwenye hayo mahusiano akubali yote kikubwa angalie furaha yake anapataMkuu,yaan hata nikisema niwapitie na gari,mwanamke ataanza kusema ziwezi kupanda gari anayo panda mke wako,na mtoto wangu hawezi kupanda hilo gari analo panda mkeo na watoto wenu..yeye halimuhusu. Nmepanga nimpotezee,maana anajisahau hata hela ninazo mpa zinatoka kwenye familia yangu.
Wanawake ni manyumbu 🤣🤣🤣🤣Kwahiyo mtu ameoa, halafu anakudanganya kwamba anakupenda kuliko mkewe na wewe unamuamini? 😅
Hivi mtu unamlisha na kumvalisha anpata wapi udhubutu wakunipangia mbususu naipata wakati gani?Hiyo biashara haipo, ila wanaoweza kutulia watulie tu. Nilitulia for 6yrs, ila mambo ya kupangiwa na kupewa kwa ratiba yalinishinda.
Ukioa utaelewa mkuu!Hivi mtu unamlisha na kumvalisha anpata wapi udhubutu wakunipangia mbususu naipata wakati gani?