Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume, watafika mbinguni kwa kutambaa, woiiiiiihTena muda huo amenipigia
Anasema Kuna jambo muhimu nataka tuongee
Mi hadi nikaogopa
Huwa Nina nidhamu ya uoga hasa Kwa mtu ambaye sijamzoea...tena kuongea na simu huwa nipo mzito Sanaa.
Hee anatiririka matatizo wee
Halafu ananiuliza eti hii ni sawa kweli mimi kudangaanywaa miaka?
Namsapoti kuwa kweli si sahihi.
Yaani mtu mwenyewe hajasoma kabisa
Biashara yenyewe amefeli
Khaa ila watu
Kwani hakumuona kama hajasoma?[emoji23]
Kuzungumzia hayo ni kuuza codeHapo kwenye my wife this my wife that.
Wanaosema hivyo ni only young boys.
Huwa sizungumzii kabisa, kuhusu mke wangu wala watoto wangu nikiwa na mchepuko.
Hata nikuelewe kiasi gani.
Hakuna haja, kuna mmoja alitaka sana kuona picha ya mke wangu!!Kuzungumzia hayo ni kuuza code
Siri ya mtungiKumbe ilikuwa siri?
Sina uzoefu wowote na waume za watu.Wazoefu wa mabo haya kuwajua ni rahisi sana..!!! 😀😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna haja, kuna mmoja alitaka sana kuona picha ya mke wangu!!
Nikamwambia unataka kumloga? hajawahi kurudia tena [emoji1787][emoji1787]
Tuwazungumzie wawaloge? 🤣🤣🤣Sisi wakongwe hatuzungumzii wake zetu,ni weka mzigo tutwange
Sema na yako,Hey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!
2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu
3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii
NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?
Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
Hata ukipewa na mkeo 24/7.Uwepo wa side chicks unasaidia sana kuimarisha Ndoa zetu
Wengi mliooa mnaweza kuwa mashahidi kwamba Ni Wanawake wachache sana wanaotoa tendo la Ndoa Kwa Waume zao Kila wanapohitajika
Wengi wanatoa hadi wapende kisa tayari ameolewa na kuwekwa ndani,
tena ukipewa mwisho kupiga viwili na ole wako ufululize kupiga Siku 7 za wiki
Utaambiwa nimechoka, unataka kunizeesha na sababu zingine
Pamoja na changamoto alizotaja mtoa mada, sioni sababu za msingi kwanini muingie kwenye mtego wake wa kuwahamaisha mtuache kisa tumeoa...
Maisha yenyewe ni haya haya, tuendelee kufurahia
Ni kweli but haitakuwa sanaHata ukipewa na mkeo 24/7.
Asili ya kuchepuka tumeumbiwa!!
Ndoani hakuna kukamiana mdau!Ni kweli but haitakuwa sana
Hakuna kitu sipendi kama kupewa Kwa kubaniwa
Wengine hatunywi Wala hatuvuti, halafu bado tupewe mbili tu kweli😜🙌
Kule ni kutafuta watoto tu 😀Ndoani hakuna kukamiana mdau!
Au bado mgeni kwenye hii taasisi?
Hahaha.................sawa Mkuu, japo nina miaka mingi kidogo kwenye NdoaNdoani hakuna kukamiana mdau!
Au bado mgeni kwenye hii taasisi?
Exactly 🤣🤣🤣🤣Kule ni kutafuta watoto tu 😀
Safi kabisa,muongezee mtoto wa pili mkuu. Nimezaa na mmoja,yeye muda wote ana hasira na mke wangu tu.Mume wa mtu miaka 12 na mtoto mmoja sijawai sikia anazungumzia familia yake Wala mkewe ki vyovyote vile sisi tupo bize na mambo yetu.