Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hatari shosteee😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Anne, wee mkaliiii, khaaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari shosteee😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Anne, wee mkaliiii, khaaaah
Ila suala ni wapo.Kama ambavyo kuna nyakati ulifanywa side(according to you), sasa umekuwa main na kuna mwenzako ni side....that's how the world rolls.
Kuna wanaume wachache sana wenye mwanamke mmoja, ni wachache sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaanHatari shosteee[emoji23][emoji23][emoji23]
Tena muda huo amenipigia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiii
😅😅Mimi huwa nawasikiliza na mauongo yao naishia kucheka 😅.Wee eti wanaona hadi wivu nyie hawa waongoo😅
Ili umuonee huruma 😅Tena muda huo amenipigia
Anasema Kuna jambo muhimu nataka tuongee
Mi hadi nikaogopa
Huwa Nina nidhamu ya uoga hasa Kwa mtu ambaye sijamzoea...tena kuongea na simu huwa nipo mzito Sanaa.
Hee anatiririka matatizo wee
Halafu ananiuliza eti hii ni sawa kweli mimi kudangaanywaa miaka?
Namsapoti kuwa kweli si sahihi.
Yaani mtu mwenyewe hajasoma kabisa
Biashara yenyewe amefeli
Khaa ila watu
Kwani hakumuona kama hajasoma?😂
Joanah single boy apa tule lifeHey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!
2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu
3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii
NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?
Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
Mungu akuteteeImani yangu itanilinda, uzinzi wa mme wangu hautaniua mimi, biblia inasema mshahara wa dhambi mauti siwezi kufa na ukimwi ambao cjautafuta ndio maana mtaani wajane wengi kuliko wGane
Sijasoma yote ila Pole sana kwa yaliyokukutaHey
,Weekend kwangu ipo poa sana,Natumaini hata yako imetulia,kinyume na hapo jipe moyo siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa,ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine...Jamani,kina dada hii kitu mimi ilishanishinda sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo,yaani ukute huu muda dada uko zako hotel happily na married man sijawahi enjoy,nishajaribu kudate nao mara kadhaa ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua sifiki mbali yaani kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao,mfano
1.UONGO,
Jamani hao viumbe ni waongo Shetani akasome,utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke kwanza alilazimishwa kumuoa,mwingine utasikia kwanza silali nae chumba kimoja mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic
,ukisikia hizo mambo za design hivo sister,Don't buy it!
2.UNAFIKI
Hao jamaa achana nao,kuna wale wanafiki uko nao ila kila muda utasikia wife this,wife that,yaani anajifanya anampeeeeendaaaaa unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat?nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini,hilo penzi linanishinda kabisaa,Inakata sana stimu
3.UMBEA
kuna wale wasengenya wake zao oooohooo usiombe ukutane nao anamuanika mkewe unabaki kushangaa,huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii
NUKSI
Ukiwa nao hao mambo hayaendi kabisa kuna namna tu unakuwa unakwama,sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi,au ni vile mi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
KUFICHWAFICHWA.
Yaani unakuwa kama heroine,huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu,utasikia "Baby ndio nimefika home usinipigie,usiku mwema ,nakupenda sana🙄🙄🙄"Whaaaaat?
Anyway yako mengi,sijui wenzangu mnawezaje,ila kupanga ni kuchagua ,maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single..wake up weekend njemaaa
Tafuta wako Akupende Na Umpende Anza naye chini hata kama hana Kitu Wanaume wengi wakiwa wanajitafuta wanakuwa wa hovyo ila akipat mwanamke sahihi anakuwa kwenye mstali Sasa Nyie wanawake mnataka Umkute mwanaume ashajipanga kumbe akijipanga kuna mtu ashajipanga naye ndio huko sasa unako angukia kwa waume za watu.Mimi mmenishinda.
Umewaambia ukweli demi,hyo ndo reality.Unatakiwa kudate na mume wa mtu anayejitambua, sio yule ambae kila siku anakusimulia kero za mke wake.
Anaweza akakusikulia lkn isiwe too much, pia awe na mipaka sio kila jambo anasema.
Unakuwa na mume wa mtu kwa lengo la kuhave fun pamoja na kushauriana mambo ya hapa na pale na sio umchukulie seriously kama ni wa kwako.
Kufichwafichwa ni lazima, sio jambo la kulalamika.
Kabisa mkuu..mtu ana miaka 35 na ni single maza. Unapata wapi mwanaume wa peke ako? Labda aliye fiwa na mkewe au kuachana na mkewe,maana ni nadra kukuta mwanaume wa miaka 40 hajaoa. Hivyo atafute tu dogo amleeKumbe tatizo
ni wewe🤣 tafta kitoto ukipelekeshe sasa ukilee kama shishi anavyolea vijana.
Harsh reality, ni ngumu wao kuamini ukweli huu mchungu. Mtu kakukuta 35+ tena uko na watoto anaanzaje kuji-commit kwako 100%. Mahusiano yenyewe siku hizi ni kuviziana tu.Kabisa mkuu..mtu ana miaka 35 na ni single maza. Unapata wapi mwanaume wa peke ako? Labda aliye fiwa na mkewe au kuachana na mkewe,maana ni nadra kukuta mwanaume wa miaka 40 hajaoa. Hivyo atafute tu dogo amlee
Hatari sana mkuu.Harsh reality, ni ngumu wao kuamini ukweli huu mchungu. Mtu kakukuta 35+ tena uko na watoto anaanzaje kuji-commit kwako 100%. Mahusiano yenyewe siku hizi ni kuviziana tu.
Wazoefu wa mambo haya kuwajua ni rahisi sana..!!! 😀😀😀😀Usipige simu niko na wife.
Hongera kwa Kutubuutasikia kale ka kamstari ka Ebr 13 :4 " ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi"kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi
Yaani😂Ili umuonee huruma 😅
Mtoto ushakuwa shoga tayari na mods nao wanakuangalia tu hivihivi kiukweli unatia kinyaa mnoVilevile unakuwa haulifaidi HOGO LAKE vizuri, analibania sana hakupi hogo lote hadi lifike kwenye maini......... eti anambakizia mkewe!
Unabakiza ya nini weweee dumbukiza hogo lote unibomoe uchi ipasavyo mpaka niwehuke. Unidinye kikamilifu mpaka niombe maji!!
Sipendagi kupewa hogo nusu nusu mimi.
Cc: Lamomy Mbaga Jr Poor Brain cocastic Extrovert dronedrake Maghayo Mwachiluwi
Mtoa coments JFNikuite nani ? 😆😆
Mimi sipendi unafiki na kujipendekeza,😳Ila bro unakauli zisizobariki....I don't know why? Hivi upo perfect Sana eti?