Wake zetu wanajisahau sana, unakuwa naye yeye tu huchepuki Wala nini lakini sometimes kukupa maQu anajivuta vuuuutaHiyo biashara haipo, ila wanaoweza kutulia watulie tu. Nilitulia for 6yrs, ila mambo ya kupangiwa na kupewa kwa ratiba yalinishinda.
Yaani,mimi ni mpenda attention sana yaani mtu aniambie shuka kwenye gari wife anapiga video call kweliii?haki siwezi kuvumilia hayo maumivu
Raha ya maQu upewe kwa maridhiano, sio Kila wakati una Force....kwanza haiwi tamu na hainogi.Hivi mtu unamlisha na kumvalisha anpata wapi udhubutu wakunipangia mbususu naipata wakati gani?
Exactly!Ukioa utaelewa mkuu!
Ahsante sana kwa ushauri mkuu. Nimepanga nimpotezee mazima ili ajifunze na kutafakari.najua anaweza kupambana,kipato anacho maana ni muajiriwa wa government.japo roho inaniuma kuhusu mwanangu.Huyo kichefuchefu na wanawake Kama hao huwa warogaji wazurii sana jipange,anachukia familia yako kwani ndiyo ilikutuma umfanye mchepuko hata iwe vipi mkeo atabaki kuwa mkeo na yeye mchepuko tu Kama alikubali kuingiza kwenye hayo mahusiano akubali yote kikubwa angalie furaha yake anapata
Wanajisahau sana mkuu, wengine hizi mambo za kutoka nje sio kivile yani. Ila unakuta mtu ameshapata furaha yake kupitia watoto ambao kiuhalisia ni wenu wote, hajali tena hisia zako.Wake zetu wanajisahau sana, unakuwa naye yeye tu huchepuki Wala nini lakini sometimes kukupa maQu anajivuta vuuuuta
Sawa nakubaliana na hilo but mke hapaswi kamwe kumnyoma mume wake mbususu. Akimnyima maana yake kashindwa kazi. Fukuza leta mwengineRaha ya maQu upewe kwa maridhiano, sio Kila wakati una Force....kwanza haiwi tamu na hainogi.
Kwani kuna shida gani ukitafuta mwanaume aliye kuwa single na mkafanya maisha?.
Kwanini udate mume wa mtu ilihali unajua kabisa huyu commitment yake iko tayari kwa mwanamke mwingine?. Kwanini utake equal share ya attention and love ikiwa unajua kabisa kuna kimoja au vyote lazima viegame upande mwingine?.
Nadhani vyema kuwa na wako mwenyewe, huyo walau utakuwa na uhuru naye
Mwanao hudumia fanya kila kitu ajue baba yake upo na unamjali mengine yametokea tu nje ya uwezo wakoAhsante sana kwa ushauri mkuu. Nimepanga nimpotezee mazima ili ajifunze na kutafakari.najua anaweza kupambana,kipato anacho maana ni muajiriwa wa government.japo roho inaniuma kuhusu mwanangu.
Haiwezekani unamchukia mke wangu na familia yangu,ambayo wala hata haikujui.
Mie kabla ya kuona tunawekana sawa mapemaa...siku akinunyima mbususu ajue hapo ndoa hana achukue vilago vyake asepe zake kazi imemshinda. Kuolewa ni kuajiriwa huwezi ukaamua lini upo kazini lini haupo kaziniUkioa utaelewa mkuu!
Utafukuza wangapi..?!maana hiyo tabia ya kunyima unyumba wanawake waliokua kwenye ndoa zao ni Kama katabia kao kakudumu na Wala hawana mpango wa kuachaa πSawa nakubaliana na hilo but mke hapaswi kamwe kumnyoma mume wake mbususu. Akimnyima maana yake kashindwa kazi. Fukuza leta mwengine
Wee fukuza tuu...kama hela ipo trust me utapata mmoja ambaye anakupa matundu yote manne. Usiogope kufukuza eti kisa ni katabia kao...trust me bro utapata mwanaumke ambaye anakukabidhi mwili wake wote ni wewe tuu uamue unamwagia wapiUtafukuza wangapi..?!maana hiyo tabia ya kunyima unyumba wanawake waliokua kwenye ndoa zao ni Kama katabia kao kakudumu na Wala hawana mpango wa kuachaa π
Ngoja nikuulize mamii kwanini umeamua kudate na mume wa mtu wakati waliosingle wapo wengi tu?Ooh yeah ndio maana nasema nyinyi ni wa wazandiki
Sasa Kama kilichokupeleka kwa mume wa mtu ni UMALAYAβ¦. Unategemea Akutreat kama mwanamke wa maana?Hey
Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:
1. UONGO
Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!
2. UNAFIKI
Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.
3. UMBEA
Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.
NUKSI
Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.
KUFICHWAFICHWA
Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." πππ Whaaaat?
Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
Mtu anamsaliti mke wake, wewe unategemea nini?Hey
Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:
1. UONGO
Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!
2. UNAFIKI
Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.
3. UMBEA
Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.
NUKSI
Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.
KUFICHWAFICHWA
Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." πππ Whaaaat?
Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
Si huwa mnasema mboga moja inachosha ina mana hata akikupea 24/7 utachepuka tu ama huwa inakuaje??Raha ya maQu upewe kwa maridhiano, sio Kila wakati una Force....kwanza haiwi tamu na hainogi.
Si unajua kabisa sio wako lazima ukubaliane na matokeoUsipige simu niko na wife.
Sasa nani anataka hizi mambo. Bora kuwa singo kuliko kudate mume wa mtu ni mateso sana.Si unajua kabisa sio wako lazima ukubaliane na matokeo
Kwahiyo unataka atembee Kwa mguu na ana mtoto wakeHapo kazi unayo, kuna wadada vichefuchefu sana. Ukiona hivyo anataka umnunulie gari yake.
Safari ya mahusiano ni ndefu mno,imagine mtu Yuko vizuri then ghafla unagundua IQ Iko chini na management ya watoto hawezi,imagine that feeling.Kwakweli GEN Z kuweni makini,mahusiano yana chemistry ndefu mno,wengine shape safi,mara **** inapoteza utamu mazima na anakumbwa na majini mahaba kila ukikukuluka kumsaidia kuyatoa hayachomoki,imagine that feeling,mwingine Yuko poa kabisa shape kama lote lakini hapendi nduguzo,imagine mwingine kila kitu kiko sawa lakini hapendi hustle yoyote,imagine that feeling,mwingine.πππππ
Unafichwa kama bangi.
Ila watu ni waongo sana
Eti hampendi mkewe au mumewe
Hapo wamefunga hadi ndoa ya kanisani.
Nyie watu wanachuma dhambi hivihivi.