Kero za kudate mume wa mtu

Daaah,so disappointing....kazana kumuombea
 
Hakuna mwisho wa kukosa mume trust me!ni vile mtu unaweka ubongo wako kwamba mi tayari niko late ngoja nikomae na mume wa mtu kumbe hapo ndio unazidi kupotea,maana utajifanya uko Royal,hutoki out ukutane na watu ukitoka uko na huyo married wako unazidi poteza ramani!hivi unajua kuna wakaka wako 30-50 hawana wake kwa sababu moja au nyingine?hapana kung'ang'ana na mume wa mtu ni roho ya kushindwa na kukata tamaa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…