Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio sawa kudate mume WA mtu.mbona masingle wapo wengi Tu vijana kwa wazee
Yaani,mimi ni mpenda attention sana yaani mtu aniambie shuka kwenye gari wife anapiga video call kweliii?haki siwezi kuvumilia hayo maumivu
Inamaana bado huja pata uzoefu tu?Hey
Weekend kwangu ipo poa sana. Natumaini hata yako imetulia, kinyume na hapo jipe moyo, siku hazifanani na pia hazigandi...
Leo shangazi nimeona niongee hili suala kidogo la kudate na mwanaume aliye kwenye ndoa. Ninaongea kwa experience yangu na kwa experience ya kuangalia mahusiano ya wengine. Jamani, kina dada, hii kitu mimi ilishanishinda; sijui wenzangu mnawezaje kuwa happy na mahusiano ya namna hiyo. Yawezekana ukute huu muda dada uko hotel happily na married man, lakini sijawahi enjoy. Nishajaribu kudate nao mara kadhaa, ila mara nyingi nimekuwa nikiangukia pua. Sifiki mbali; kuna vitu ambavyo nashindwa kuroll nao. Mfano:
1. UONGO
Jamani hao viumbe ni waongo, Shetani akasome. Utasikia mwingine anasema hampendi kabisa huyo mwanamke, kwanza alilazimishwa kumuoa. Mwingine utasikia: "Silali nae chumba kimoja, mpe miezi sita utamuona huyoo anampeleka mkewe clinic." Ukisikia hizo mambo za design hivo, sister, Don't buy it!
2. UNAFIKI
Hao jamaa, achana nao. Kuna wale wanafiki uko nao, ila kila muda utasikia "wife this, wife that." Yaani anajifanya anampeeeeendaaaa, unabaki kushangaa kama unampenda mbona unamcheat? Nikishasikia tu mume wa mtu kaanza wife sijui nini nini, hilo penzi linanishinda kabisa; inakata sana stimu.
3. UMBEA
Kuna wale wasengenya wake zao. Ooooh, usiombe ukutane nao. Anamuanika mkewe, unabaki kushangaa. Huyu kama mkewe aliyemtolea hadi mahali hivi, mimi sasa si ndio atanipiga na picha hapo ni ndukiiii.
NUKSI
Ukiwa nao, hayo mambo hayaendi kabisa. Kuna namna tu unakuwa unakwama. Sijui maombi ya wake zao yanaweka kizuizi, au ni vile mimi mwenyewe nakuwaga napata kauoga na ka guilty. Utasikia kale ka kamstari ka Ebr 13:4 "ndo na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi" kanakuwa kananijiajia tu bila sababu za msingi.
KUFICHWAFICHWA
Yaani unakuwa kama heroine, huku bado upangiwe muda wa kumpigia simu. Utasikia "Baby, ndio nimefika home, usinipigie, usiku mwema, nakupenda sana." 🙄🙄🙄 Whaaaat?
Anyway, yako mengi. Sijui wenzangu mnawezaje, ila kupanga ni kuchagua, maana unaweza kudhani uko kwenye mahusiano unakataa watu wema kumbe uko single. Wake up, weekend njemaaa!
Yaani hapo utakuwa uko na kichupa cha wine na bby wako,anakudanganya huyo ikifika saa tano tu huyoooo kwa mkewe😅😅😅
Hakika, at your own risk🤣🤣🤣🤣Tulia at your own risk 🤣 mambo ya kuambiana ntakupa kesho nimechoka ni bonge moja la turnoff.
Kuzaa nje kuna faida zake, japo hasara ni nyingi. Binafsi hili naliwaza, nafikiri its worth kutafuta mmoja wa pembeni. Breeding with one woman sio afya kwa vizazi vyako, kama ukipata watoto below average ndio imeisha hivyo.Kwenye mimba labda niwe nimeamua na mimi kuzaa
Actually sijui kwann wanatakaga kuzaa nje hata kama ndani Wana watoto
Na hajui tu naweza kuzaa naye na nikamuacha vilevile
Nakemea 😂Baelezeeee baelezeeeeeee!🕺🕺🕺
Sema nini kam kauwaaa ataejileta weeee fumua tu lo!
Kikubwa ni kwamba wapo 😂Kama ambavyo kuna nyakati ulifanywa side(according to you), sasa umekuwa main na kuna mwenzako ni side....that's how the world rolls.
Kuna wanaume wachache sana wenye mwanamke mmoja, ni wachache sana.
Siungi mkono ku date na mume wa mtu ila nadhani wanawake wengi huwa wananaswa na uongo wa hawa watu. Na wanakuja kushtuka too late.Kwani kuna shida gani ukitafuta mwanaume aliye kuwa single na mkafanya maisha?.
Kwanini udate mume wa mtu ilihali unajua kabisa huyu commitment yake iko tayari kwa mwanamke mwingine?. Kwanini utake equal share ya attention and love ikiwa unajua kabisa kuna kimoja au vyote lazima viegame upande mwingine?.
Nadhani vyema kuwa na wako mwenyewe, huyo walau utakuwa na uhuru naye.
Na usiamini kila uachoambiwa na mume wa mtu.....wakat mwingine ni gia ya kukupata.Ninapochoka kwa waume za watu, kutoa siri za familia yao kwa mchepuko.
Najiuliza wanawezajee kufanya hivyo? Hawana hata uoga? Aibu je?
Aaaaah
😂😂😂😂Wakuanza nae chini hapana!awe amejipata japo nusu ya safari....takwimu zaonyesha maskini akipata matador hulia mbwata
Sasa kuna mwanamke anaelewaga bila kupigwa siasa🤣!? Ni lazma tudanganye ili kufix the missing puzzleNa usiamini kila uachoambiwa na mume wa mtu.....wakat mwingine ni gia ya kukupata.
Atakwambia nimetengana chumba na mke wangu....halaf subir miez mitatu unamuona mkewe anapita ana mimba.
Waume za watu Nyooooko.
Hata sisi hatuwezi kuwa na mwanaume mmoja mkituoa tunaenda kwa wengine 😹Kwa taarifa yako hatuwezi kuwa na mwanamke mmoja..hata nikikuoa ukawa mke bado nitatoka na mwanamke mwingine..
Wizo uchinjwe Xmas 🤣🤣🤣Vilevile unakuwa haulifaidi HOGO LAKE vizuri, analibania sana hakupi hogo lote hadi lifike kwenye maini......... eti anambakizia mkewe!
Unabakiza ya nini weweee dumbukiza hogo lote unibomoe uchi ipasavyo mpaka niwehuke. Unidinye kikamilifu mpaka niombe maji!!
Sipendagi kupewa hogo nusu nusu mimi.
Cc: Lamomy Mbaga Jr Poor Brain cocastic Extrovert dronedrake Maghayo Mwachiluwi
😹😹😹😹 chinekeeeeeHee, kwa namna hiyo siku ukipita Singida Kanunue punda wako tu!! Au agizia wale madereva wa malori wakuletee punda!!