mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,068
- 6,758
Kamanda Mamboππ tayari amesha toa tamko kuhusu huli...Nina wasiwasi kama huo mkutano utafanikiwa kufanyika, vifaru vitalizingira jengo lote la makao makuu ya Chadema.
Tanzania mpya ya kijani...
Kila la heriKesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Itakuwa nzuri sanaWatakamatwa na kupigwa mabomu.
Expect this to happen tomorrow.
Nina wasiwasi kama huo mkutano utafanikiwa kufanyika, vifaru vitalizingira jengo lote la makao makuu ya Chadema.
Tanzania mpya ya kijani...
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKesho dude linaamshwa hakuna mfano
Wanayowafanyia wapemba huko sasa hivi hayaandikiki hapa, ni ya kinyama kuliko unyama wenyewe, hako ka takataka utakuta hakana cheo chochote ila ni kiherehere tu.Hebu muoneni huyu nzi wa kijaniView attachment 1616165
Mwenzao Aida khenan ameshinda ubunge kwenye wakati mgumu sana, si Mbowe wala Lisu aliyeenda kumuombea kura huko Nkasi , acha ale maisha tena bila makato ya kuchangia chama.Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Hivi akili zako zimechanganyika na mavi?Watakuja kutuhadaa na wizi wa kura! Afu nachoshangaa marekani kila siku wanalalamikia Uhuru wa kuongea, ilihali wapinzani kila siku wanabwabwaja tu kwenye vyombo vya habari!
Duh UFON VPN imekutoa mafichonieeπ
Watanzania wawapi mnao waongelea nyie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.