Ulishawahi kuwagawia hata kilo moja ya unga.Wananchi wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia kipato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi kuwagawia hata kilo moja ya unga.Wananchi wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia kipato.
Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
wajaribuuu asa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tamko la Lissu la kuingia barabarani limeishia wapi 😁😁😁...
Au Mbowe ndio anaenda kukazia tamko, wakimaliza wao ndio wakae mbele kwenye maandamano Jussa atapata kampani at least.
Nina wasiwasi kama huo mkutano utafanikiwa kufanyika, vifaru vitalizingira jengo lote la makao makuu ya Chadema. Tanzania mpya ya kijani.
Leo mmeua wangapi Zanzibar maana ndiyo order yenu ya kila siku.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi bado unajifariji tu?
Imeisha hiyo jipangeni kwa ajili ya 2025.
Yani chadema na Lisu wakiendelea kupumbazwa na huu ushabiki wa mitandaoni wataishia kuwa kama tlp.
Furaha yenu ni kuona idadi ya damu kumwagika inaongezeka.Tamko la Lissu la kuingia barabarani limeishia wapi 😁😁😁...
Au Mbowe ndio anaenda kukazia tamko, wakimaliza wao ndio wakae mbele kwenye maandamano Jussa atapata kampani at least.
Kwani vyama vimeungana!Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Upo sahihi boss,lakini haki ni pamoja na kukata rufaa kwanini wasikate rufaa wale wote wanao ona wameonewa?Umoja wa kitaifa kwa ubaguzi huu na ubakaji wa demokrasia? Haki itendeke, bila haki hakuna umoja wa kitaifa.
Umoja wa kitaifa kwa ubaguzi huu na ubakaji wa demokrasia? Haki itendeke, bila haki hakuna umoja wa kitaifa.
Kura 12,516,252 MagufuliTamko la Lissu la kuingia barabarani limeishia wapi [emoji16][emoji16][emoji16]...
Au Mbowe ndio anaenda kukazia tamko, wakimaliza wao ndio wakae mbele kwenye maandamano Jussa atapata kampani at least.
Kaitaarifu ile kamati ya maadili iwaite wajieleze au iwazuie kampeni kwa siku 7.Kwani vyama vimeungana!
Imeisha hiyo.
Matamko ni lazima kuwafariji makamanda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi bado unajifariji tu?
Imeisha hiyo jipangeni kwa ajili ya 2025.
Yani chadema na Lisu wakiendelea kupumbazwa na huu ushabiki wa mitandaoni wataishia kuwa kama tlp.
Haooooooooooooooooo !!!!!.
Tena mkutane kwa heshima na adabu vinginevyo Kamanda Mambosasa yupo.
Watakuja kutuhadaa na wizi wa kura! Afu nachoshangaa marekani kila siku wanalalamikia Uhuru wa kuongea, ilihali wapinzani kila siku wanabwabwaja tu kwenye vyombo vya habari!
Wananchi wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia kipato.
Duh, hiki ni kimbunga.Kura 12,516,252 Magufuli
Kura 1,933,271 Lissu
Kimbunga na kisulisuli ndani yake💚💛💚💛💚Duh, hiki ni kimbunga.