Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.

Stay tuned!
Ukisoma majibu ya watanzania kwenye post iliyofuata kuhusu post ya ZITTO IG ndio utajua upinzani hawana Leo. Watanzania usipowajua watakupa taabu sana
 
Ukisoma majibu ya watanzania kwenye post kuhusu post ya ZITTO IG ndio utajua upinzani hawana Leo. Watanzania usipowajua watakupa taabu sana😂😂😂😂😂😂
20201031_001337.jpg
20201031_001407.jpg
20201031_001453.jpg
20201031_001519.jpg
20201031_001558.jpg
 
Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.

Stay tuned!

Hahaaaaa
 
Wameomba kibali cha kuitisha huo mkutano?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi bado unajifariji tu?

Imeisha hiyo jipangeni kwa ajili ya 2025.

Yani chadema na Lisu wakiendelea kupumbazwa na huu ushabiki wa mitandaoni wataishia kuwa kama tlp.
Wewe ni mbwa na possibly utakuwa mimba yako ilitungwa baada ya your beloved mother to be lapped
 
Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.

Stay tuned!
Tusubiri watukatie umeme...Yani lazima watakata umeme...kuna maene
 
Wananchi wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia kipato.

Huwezi ukaibiwa unaendelea na shuguli zako hata Mungu hapendi uache kumsaka mwizi, lazima mwizi apatikane na aadhibiwe hakuna njia mnadala Yaani kwa wizi huu uliofanyika ni lazima mwizi ashugulikiwe ndipo kazi za kujioatia kipato ziendelee bila hivo hakuna kulala
 
Uwiano wa idadi ya komenti hizi hauna tofauti kabisa na matokeo alopata JPM na yale ya Mr Nothing More, Nothing Less.
 
Vyama vya CHADEM na ACT vya ajabu. Matatizo yote ya uchaguzi wamesababisha wenyewe wameshindwa kuungana kabla ya kampeni kusimamisha mgombea 1 watanzania tukajua Ni yupi wa kupigiwa kura.
CHADEM namuunga mkono mgombea urais Zanzibar wa ACT. ACT na wao namuunga mkono mgombea wa urais wa CHADEM. Kwenye Wabunge wameshindwa kabisa kuungana mikono unategemea nini.

Sijajua kesho CHADEM na ACT watazungumza nini kwa nafasi za Ubunge..

Kumuunga mkono mgombea hakuishii kwa nafasi ya Urais ilitakiwa kuanzia kwenye nafasi ya Udiwani mpaka Ubunge.
Upande mmoja wanagomea matokeo, upande mwingine wanakubali matokeo.

Mfano jimbo la Mbeya CHADEM wanapinga MATOKEA kwa nafasi ya Ubunge , ACT kwa matokeo ya Mbeya kwa nafasi ya Ubunge wanakubali wameshindwa.
Mgombea angekuwa 1 sauti yao ingekuwa kubwa
 
Back
Top Bottom