Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Amesema ni Yuan 1000Kwa hiyo samsung A02 ni 360,000?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema ni Yuan 1000Kwa hiyo samsung A02 ni 360,000?
baadayamuda gani simu inakuwa ishafikaNa nimesema kama mtu ana mashaka naagiza kwa pesa yangu. Simu yake ikifika namptia.
Sawa, kwani wewe ulinunuaga bei gani hiyo A02? Nimemiliki A04, sijawahi kumiliki hiyo, nimeangalia tu hapa gsmarena specs zake.Amesema ni Yuan 1000View attachment 2943758
Vipi kuhusu pc nataka nimchukulie kijanaMkuu TV naonaga uvivu usafirishaji wake ni mgumu. Sijawahi kusafirisha. Wanatumia meli sasa kufika meli inachelewa. Lakini simu ni kwa ndege.
Dah, nina uhakika ni chuki tu ya Mataifa ya Magharibi.Huawei sikushauri mkuu wangu siku izi hazina playstore. Hata mimi nilikua napenda Huawei ila nilisha badili mtazamo baada ya kuondolewa kwenye Google Play services
Mtu naye mtegemea kwenye PC hana PC nzuri.Vipi kuhusu pc nataka nimchukulie kijana
Hapo umetumia rate ya online. Bei ya sokoni Yuan 1 = 384 Tsh had 388 TshAmesema ni Yuan 1000View attachment 2943758
Sasa hivi rate ni 398 - 400Hapo umetumia rate ya online. Bei ya sokoni Yuan 1 = 384 Tsh had 388 Tsh
Mungu akubariki sana kwa kutushirikisha hili.Naagiza simu original China kama unataka kuagiza karibu (06877446471)
Kama kuna yeyote anatamani kuagiza simu kutoka China. Simu original karibu uagize namimi.
Namba zangu za simu ni 0687746471
Huyu mtu anayeniuziaga simu namwamini sana ameanza kuniuzia simu tangu 2019 mpaka sasa naagiza simu ya tano kutoka kwake.
Simu zake hazijawahi kunisumbua.
Kama una hofu yeyote unaweza kuniagiza mimi nakulipia kisha utanilipa simu yako ikifika.
View attachment 2943265
Ahsante sana
Hii ni kama bahati nilikua naagiza simu yangu nimeona hii fursa niwaletee na ninyi ndugu zangu.
Hii post niliandika jana usiku. Hivi muda huu tayari nimesha agiza hii simu na nimesha lipia tayari kama unavyoona hapo.
View attachment 2943366
Ni baadhi ya mizigo ambayo niliagiza. Juu ni Samsung S20 Ultra 5G. Hiyo samsung ni 1700 YUAN
Sifa kuu za hii simu ni kwamba ina WIRELESS CHARGING yaani unaweza kuichaji kwa kutumia simu nyingine. Bila kuchomeka kwenye umeme.
Hapa chini ni simu yangu nayotumia. Ni 5G pia.
View attachment 2943375
Hiyo chini ni motherboard ya laptop ya Lenovo niliyo itafuta Tanzania nzima nikaikosa.
Ilinibidi nianze kuitafuta kwenye majiji ya China. China nina marafiki wengi kwa hiyo ni kama nyumbani tu. Bahati nzuri nikampata rafiki yangu wa Beijing anasoma huko nikamwomba aingie mtaani kwa mafundi wanao tengeneza PC China. Akampata bwana mmoja yupo vizuri sana kwenye mambo ya PC lakini pia ana duka la electronics.
Huyo jamaa wa kwanza anaitwa Jerry IT CENTER
View attachment 2943367
Hilo box la motherboard ya PC nililitoka Beijing likaenda Guangzhou likaenda Hongkong likaenda Ethiopia likaenda Zanzibar ndio likafika Dar es Salaam.
Hii ni akaunti yangu ya kulipia manunuzi.
View attachment 2943368
Rate imesimama sana ni hatari.Sasa hivi rate ni 398 - 400
Mkuu yuan 1700 ni sh.ngapi za kitanzania?
nasubir na mm nione bei zakeOkay
353,918 LakiSamsung A02 1000 YUAN
55,000 TSH tu na hiyo unalipia baada ya simu kufika.353,918 Laki
Vipi cost mpaka kufika Tanzania nitaipata kwa bei gani.