Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

Asante sana Mkuu
 
Amen mkuu, nitafanya hvyo
 
Uwajui watumishi
 
Ni sahihi panga vyeti vyako transcript hawazingatii Sana mara hivyo vyeti wanataka kuhakiki Tu tena wale watu wa utumishi au unaweza kuweka iyo transcript mwishoni mwishoni yaan panga ivi Anza na o'level,A'level then transcript maliza na cha chuo apo Sana nenda kwenye usahili tuliza akili mkuu usiwe na wasiwasi usije uka loose focus
 
Mkuu asante, aisee nilianza kupitia vtu vilikaa kichwan but unfortunately nimeanza kuloose focus daa
 
Mkuu usikate tamaa! Ungekuwa mwalimu wa kiswalihi je?

Kwanza una advantage ya aina ya somo unalofundisha.

Nimekwambia! Mimi nafunga na kukuombea kesho ... Don't you trust in God?

Punguza presha boss! Usikubali hofu ikae ndani yako Mkuu! Act as Man you can do this na kuja na ushuhuda wa kuwatia moyo wengine!

“When the going gets tough, the tough get going.” The tough are people who don't give up
Mkuu asante, aisee nilianza kupitia vtu vilikaa kichwan but unfortunately nimeanza kuloose focus daa
 
Usiende tu maana lazima wakuweke pembeni .ni moja ya njia ya kupunguza watu iyo ukiwa na kosa ata dogo tu najua mtabisha ila nenda uje ulete ushahidi wa nilicho kisema
 
Pale hakuna cha kusema ulisema mapema unapona, we jipenyeze Kwa ujasili wakistukia ndo unatoa maelezo
 
Maswali ya oral huwa ni mepesi kuliko maelezo na yote utakuwa unayafahamu sema ni uoga tu ndio utakuangusha.
 
Pole Mwalimu.

Kwenye usaili wenu trascript inatakiwa kama huna usitegemee kufanya usaili, Bahati mbaya umekuwa mzembe sana unakagua siraha dakika za mwishoni kabisa.

PSRS wapo serious sana, Watu wanarudishwa kwa kukosa cheti origino cha kuzaliwa hata kama una copy huruhusiwi kuingia kufanya usaili ije kuwa hiyo trascript.

Omba sana kwa Mungu wako na ukajaribu bahati yako.
 
Sawa mwalimu , hakika nimekuwa mzembe
 
Wakuu asante sana kwa ushauri, nilienda kwenye eneo la usaili, mara ya kwanza nilipitishwa ,badae akaja mkuu kidgo akaniweka pemben akasema nisubr, wakajadiliana kama watu 4 hivi ,mwisho wakasema haiwezekani, ila wakanishaur kwassbbu nina masomo mawili na yana interval ya siku ya usaili basi nifate tu hyo trans original.

Asanteni kwa ushauri , kwa wajuz ,je trans inachukua muda gani kuipata na ni lazima niwepo mimi mwenyewe? Nipo songea, nilisoma SUA ,gharama tu ya nauli kwenda na kurudi 120,000.
 
Pole Mkuu!
Hongera pia kwa kwenda!
Ngoja wajuzi waje wakupe ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…