Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Kabiiiiiiiiiisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabiiiiiiiiiisa!
😳😳
Ee bhana,nirikuwa pare Bhuzebhazebha ndiyo wakaniuzishiya mekako,rico na jaribu nimeperekeye sangasi yako.🤣🤣🤣🤣umezijuaje? hahaa mhenga wewe
😂 hapo hawakosi uambasada wa kitauloFamilia iwe ya kizungu🤣wakipata na kitototo na chenyewe kinachapwa kitaulo yani tafrani tu🤣
nyèe..mhungilage sangasi🤣Ee bhana,nirikuwa pare Bhuzebhazebha ndiyo wakaniuzishiya mekako,rico na jaribu nimeperekeye sangasi yako.🤣🤣🤣🤣
Sangasi atige azaande nyee!🙏😂nyèe..mhungilage sangasi🤣
Mbona wengi ni wake za watu?Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Kuhusu swala la akili ni mtizamo wako tu mkuuJamaa yupo sahihi, hakuna mwanaume MWENYE AKILI ataoa mwanamke anayejichubua. Mwanamke anayejichubua Hana akili hivyo ataolewa na asiye na akili pia. Nawwe kama unajichubua jua huna akili
Hili ni sahihi.Mbona wanaolewa sana tu na wengine wakishaolewa wanaanza kuwapa kitaulo na mahusbae wao🤣
Mbona wengi wqnqolewa mkuu?? Kuna wengine ndo wnapenda hayo mambo kama wewe hupendi basi usijumuishe na wengine!!Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Ulitumia mkorigo gani vileAnza kuhudhuria harusi inaonekana huna ujualo
[emoji120][emoji120][emoji120]Natural color is the best
calorite mixer jiki na jivuUlitumia mkorigo gani vile
Bro. Tembelea Mbeya na Tarime.Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Kama umejikoboa umeishaNdo wanaoolewa kila siku mkuu
Acha kuolewa, ulishamwona mbibi aliyekuwa akijichubua jinsi lisura lilivyo.Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.