Kesho ni mbaya sana

Kesho ni mbaya sana

Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Mbona wengi ni wake za watu?
 
Jamaa yupo sahihi, hakuna mwanaume MWENYE AKILI ataoa mwanamke anayejichubua. Mwanamke anayejichubua Hana akili hivyo ataolewa na asiye na akili pia. Nawwe kama unajichubua jua huna akili
Kuhusu swala la akili ni mtizamo wako tu mkuu
 
Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Mbona wengi wqnqolewa mkuu?? Kuna wengine ndo wnapenda hayo mambo kama wewe hupendi basi usijumuishe na wengine!!
 
Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Bro. Tembelea Mbeya na Tarime.
Kule bila kujichubua hupati mchumba.
 
Habari zenu wanajamvi,mlishawahi kujiuliza hawA wanawake waliojichubua NI Nani atakayewaoa?😂😂
Mwanamke ukijichubua jua kuwa huji kuolewa kamwe,hii ni kwa sababu hakuna mwanaume anapenda mwanamke aliyejichubua.
Acha kuolewa, ulishamwona mbibi aliyekuwa akijichubua jinsi lisura lilivyo.

Anakuwa kama kamwagiwa majivu ya moto usoni
 
Back
Top Bottom