Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kupitia kesi hii ya ugaidi, wale walioitwa wasiojulikana zamani zile za utawala wa "Chato Village Champion" sasa wameanza kujulikana.
 
Huyo Denis hawezi kuwa shahidi wa utetezi ni msaliti na ametumika kutoa maelezo ya uongo ktk kuwachoma wenzake...

Labda Awe shahidi upande wa walalamikaji/ polisi...

Ni shahidi wa polisi obviously, ila sababu za kutekwa na kuswekwa mahabusu ni zipi?
 
Mawazo yangu Mawili ya Tofauti

1. Urio yupo upande wa Mashitaka (Shahidi mhimu) Isipokuwa ndani ya misheni Ilitakiwa pia Ateswe ili ionekane kuwa Ni mmoja ya watu waliokuwa kwenye Chain 1 ili kuwapoteza uelekeo wenzake.. Kwenye kesi ya Msingi huyu Ataibuka na kumaliza utata.. Sishangai kabisa Coz Kuna watu huwa wanafungwa Gerezani na kupitia mateso Tena makubwa ili tu Kukamilisha Misheni.. Siyo Rahisi Urio awe Shahidi upande wa Mbowe.

2. Lakini kama Yupo upande wa Utetezi yaani Kwa Mbowe Huenda Alitumika upande wa Selikali Kama Agent na Aliponogewa na Misheni Akaachana na Selikali naye Akajiunga Rasmi na Wanaoitwa Magaidi Kufanya Uhaini. Ngoja tuendelee kusubiri.
 
Hii kesi ikiendelea ni aibu kwa serikali na ikifutwa na DPP ni aibu kwa serikali. Aibu haikwepeki kwa serikali kwa njia yoyote ile, yani kunyoa au kusuka hawapendezi.
Hii ya JWTZ na Policc u drop kwa maana kuwa
1. Hao ni askari walioachishwa kazi hivyo si askari tena.
2. Askari akikwapua simu ya mtu uraiani au akifanya kosa polisi watakula naye. Court Marshall akifanya makosa ya kijeshi.

Fikirishi/Za kunyapia
Hao Komandoo walitengenezwa ili kummumaliza Uhuru lkn imeonekana wategaji hawakuwa makini ni terms au Komando wamekuwa double agents.
Game NZITO
 
Kwani huyo Urio bado ni muajiliwa wa jeshi au na yeye alishafukuzwa?
 
Hapa mkuu kiri huelewi. Komandoo akiasi au kufukuzwa na akatenda kosa atashughulikiwa hata na sungu sungu achilia mbali polisi jamii
 
Hata Cdf Mwamunyange Davis asingeruhusu huu upumbavu
 
Endeleeni kuomboleza siku Hukumu yake ikitoka mtajua kuwa mlikuwa hamjui
 
Irrelevant
 
Kufungua threads nyingi kuomboleza kuwa mbowe Hana hatia nikujichosha bure hizi porojo na blah blah hazimfutii ugaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana
Tatizo bashite hujawahi kuwa na akili wewe unadhani utapona aga kabisa hivyo vichana vyako hutabaki salama kwenye hili wewe na sirro lenu moja
 
Acha upotoshaji wa makusudi, hao watu walishatimuliwa jeshini hivyo ni raia wa kawaida tu na wanakuwa treated kama raia, ndiyo maana waliweza hata kuomba kazi ya ulinzi kwa bwana Mwamba.
Jiulize kwa nini wakiuguwa kaxini wanatimuliwa CDF Mabeyo analo lakujibu kwa nini ameruhusu makomandoo kuchezewa na vichwa vya panzi akina kingai matata msemwa goodluck. Yeye na sirro lazima wapandishwe kizimbani
 
Jiulize kwa nini wakiuguwa kaxini wanatimuliwa CDF Mabeyo analo lakujibu kwa nini ameruhusu makomandoo kuchezewa na vichwa vya panzi akina kingai matata msemwa goodluck. Yeye na sirro lazima wapandishwe kizimbani
Na wao makomando kwa nini hawakuvunja koromeo hata polisi mmoja? Mbona yule tajiri wa Mara alichakaza risasi wasiojulikana kwa ujinga kama huu huu waliofanyiwa hawa makomando? Na baadaye alionekana hana kosa
 
Shahidi anasema Urio aliteswa je Urio mwenyewe akiletwa na akasema hajateswa vipi ushahidi wa watuhumiwa wote utakuwabatili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…