pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Kesi hii ilipikwa mno hadi ikaungua! palipo na uongo wa kishetani Mola huweka njia ya ukweli ili kumuumbua shetani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mnaojua tunawauliza Urio bado yupo kazini au nae alishafukuzwa?Akili za Mshana Jr zinanishangaza sana siku hizi.Huyu si Mshana ninayemfahamu.
Yupo kazini na hawezi teswa uyo,washtakiwa wamechezeshwa mchezoNyie mnaojua tunawauliza Urio bado yupo kazini au nae alishafukuzwa?
Nyinyi mnaojua huli swali mbona mnalikwepa
Unamjua?Yupo kazini na hawezi teswa uyo,washtakiwa wamechezeshwa mchezo
Kuna mchezo mchafu unatengenezwa wa kumfunga MboweNdugu zangu!
Kwa wale tunaofuatilia kwa ukaribu hii kesi pendwa, tutakumbuka maelezo muhimu kutoka kwa mashahidi wa pande zote mbili.
Kwenye kesi ya msingi, tulisikia ushahidi wa ACP Kingai akimtaja Luteni Denis Urio kuwa alitumika kama mtego kwa sharti la kuripoti kila hatua.
Kwa maelezo yake, Urio alihusika 'kumtafutia' Mbowe wasaidizi aliowahitaji. Ikawa hivyo.
Hapa tulitegemea kuwa Urio 'amemchoma' kwa kuripoti mipango yake inayoitwa ya ugaidi.
Lakini kwenye ushahidi wa kesi ndogo uliotolewa na Komandoo Ling’wenya (mtuhumiwa), yeye kamtaja Urio kuwepo kwenye moja ya mahabusu za hao wanaoitwa magaidi na amemshuhudia akipitia mateso kama hao wengine.
Hii inatupa mwelekeo gani? Kwanini mtu aliyetajwa kufanikisha ukamatwaji wa magaidi naye anakula kichapo?
Urio yupo upande gani?
Japo si mmoja wa mashahidi katika hii kesi ya msingi, lakini sasa ni rasmi ameingizwa na itabidi apande kizimbani.
Ushahidi wake unaweza kutusogeza hatua nyingi kuelekea kuufahamu ukweli, tunamhitaji Luteni Denis Urio kizimbani bila kukosa.
Ncha Kali.[emoji1614][emoji276]
Usiwe na haraka,fuatilia mahakamani taratibuuUnamjua?
Kwanini unasema hawezi teswa?
Huo mchezo unaujua ni mchezo gani? Na ninani anacheza michezo ya kuidhalilisha serikali?
Wewe mwenye akili umeshidwa ata kuandika "kidogo".ajabu sanaJaribu kuwa na akili kodogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mwenye akili umeshidwa ata kuandika "kidogo".ajabu sana
Hio ilikuwa zamani subiri muda utasema, utopolo wa akina kingai na mahita mtaaga public, hii dharau na aibu haipiti bure.Ndo mnavyojidanganya hapo ufipa? Kweli mmekosa akili nyie watu!
Inaelekea una umri mdogo sana! Uliza komando Tamimu alifanywaje na vyombo vya dola mwaka 1981 baada ya kuongoza jaribio la kutaka kumpindua nyerere?
Tanzania kwenye kudeal na wahalifu haijalishi wewe Nani wanakupa dozi tu!
Hii ishu imesukwa na TISI kwa kushirikiriana machoko wa polisi na Magufuli aliwakatalia huu upuuzi, sasa wamempa huu utopolo Samia, hii vita wajipange watakufa wengi mno, tujipe muda within 12 months mtajionea wenyewe.Ni nadra sana kuona mtu kama Luteni wa Jeshi aliyeko kazini anateswa hovyo hovyo na hawa ma copro wa Police - nafikiri mama arudishe hadhi ya jeshi letu hili haraka mno - kesi ya Mh. Mbowe imeonyesha wazi wazi.
Kama Mwanajeshi kakiuka basi kuna mamlaka ya kijeshi yamchukulie hatua lakini si kumtoka kambini na kuteswa na raia wakakamavu. Hata leo hii wananchi wakiwaona JWTZ wanapita kwa mazoezi husimama kushangilia huku kina mama kupiga vigelegele - JWTZ ni jeshi letu wananchi lipewe hadhi yake.
Awamu ya tano kuna mambo imefanya hayakuwa sawa kwenye hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kuwa na Mashahidi wengi sana kwa upande wa serikali ni very risk sana,tena mnoooo hasa kwa kesi ya kupikwa.Just imagine tayari serikali imeshaleta mashahidi watatu na wote ushahidi umeshatofautiana tofautiana baina yao,Je,mpaka wakifika shahidi wa 23 unategemea nn kitatokea 🤣 🤣 🤣Tatizo lenu mnajiona nchini ni ya kwenu zaidi kuliko wengine.
Mnajiona vyombo vya ulinzi na usalama hasa PT ni vya kwenu zaidi kuliko vya wananchi!
Kwa taarifa yako usiishi zamani... Zama zimebadilika! 1981 hadi leo ni 40 years.
Hii kesi ina mashahidi wengi ambao si raia wa kawaida. Na Ukweli unafahamika!
We jidanganye!
NB: mnaiogopa Bavicha hadi mnafanya makosa obvious! Wengine ni free radicals!
Hii kesi ikiendelea ni aibu kwa serikali na ikifutwa na DPP ni aibu kwa serikali. Aibu haikwepeki kwa serikali kwa njia yoyote ile, yani kunyoa au kusuka hawapendezi.
Pili, swala la Police kuwateka na kuwatesa Makomandoo wa JWTZ, ambao wana Mahakama, Mahabusu na Police wao (Military Police MP, Martial Courts, Martial Lock Ups) zao pindi wanapotenda kosa. Police walipata baraka kutoka wapi??? Kwa CDF Mabeyo au IGP Sirro au Rais???.
NOTE THAT: Luteni Denis Urio ni bado mkufunzi jeshini, yupo active kama mwanajeshi wa JWTZ na hajasimamishwa kazi bado, na ndio police waliosema wameshamtupa baada ya kumalizana nae kumtekenya TAZARA POLICE STATION.
CDF wetu angekua ndio yule mwamba wa Guinea, bwana Kanali Mamady Doumbouya angekubaliana na mwenendo huu wa kuvunja katiba, kulinajisi jeshi la nchi kwa kuwateka Makomandoo na kuwafanya waliofanywa (Kupigwa, Kuteswa na Kuchomwa bisibisi za makalioni)
Adamoo na mwenzake walienda morogoro kabla ya kuanza safari ya Moshi - Je walikwenda kumwona nani? kwa kusudi lipi? Je yawezekana akawa Luteni Urio na hapo ndipo tatizo likaanziapo?
Mini nafikiri hivyo.
DPP kama ana uelewa mpana sana ni bora akaifuta hii kesi; Just imagine mpaka sasa jamhuri tayari imeshaleta mashahidi watatu kati ya 23 na wote ushahidi wao hauna consistency,sasa wakifika kwa shahidi wa 23 si ndo itakuwa balaa hasa ukizingatia utetezi wana mawakili ambao ni very competent 🤣 🤣 Hii case ishakuwa ni mess kwa upande wa serikaliNi nadra sana kuona mtu kama Luteni wa Jeshi aliyeko kazini anateswa hovyo hovyo na hawa ma copro wa Police - nafikiri mama arudishe hadhi ya jeshi letu hili haraka mno - kesi ya Mh. Mbowe imeonyesha wazi wazi.
Kama Mwanajeshi kakiuka basi kuna mamlaka ya kijeshi yamchukulie hatua lakini si kumtoka kambini na kuteswa na raia wakakamavu. Hata leo hii wananchi wakiwaona JWTZ wanapita kwa mazoezi husimama kushangilia huku kina mama kupiga vigelegele - JWTZ ni jeshi letu wananchi lipewe hadhi yake.
Awamu ya tano kuna mambo imefanya hayakuwa sawa kwenye hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Achene Mahakama ifanye kazi yake mwisho itoe HAKI. Sasa nyie mnatoa povu kisa Maelezo ya utetezi. Kumbuka katika kujitetea MTU ataeleza lolote analoona litaweza kumnasua. Najua wengi ni Ubinafsi unawasumbua.Hii ishu imesukwa na TISI kwa kushirikiriana machoko wa polisi na Magufuli aliwakatalia huu upuuzi, sasa wamempa huu utopolo Samia, hii vita wajipange watakufa wengi mno, tujipe muda within 12 months mtajionea wenyewe.
Mke wa adamoo,juzi mahamani alisema kabla ya hawajaenda Moshi ,wakaenda Morogoro kwanzaNadhani wewe ndo unanipa tip nzuri kuliko wote.Ushahidi kwamba walikwenda Morogoro kabla ya kwenda Moshi nani katoa?(Nataka kujua tu,mi si mfuatiliaji mzuri wa hii kesi)