Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ccm wana kipawa cha kuukana ukweli daimaJe ni uongo kwamba akina Tamimu, Maganga na wenzake walitaka kumpindua Nyerere? Baada ya mmojawapo kuachiwa (Maganga) kwenye mahojiano mbalimbali alikiri au hakukiri kutaka kumpindua Mwalimu? Ukishajibu hayo maswali rudi hapa tuendelee...