Ni kweli, kwanza issu ya Moses Lijenje kupotezwa ishakuwa kubwa mno. Nafikiri Komandoo Moses hakukubali ujinga akaamua kupigana hadi tone lake la mwisho. Hii kitu kinaweza kikawa kikaango wa baadhi ya maafisa wa TISS na Police. Hii kesi ishawageukia kina Kingai tayari...mkumbuke hii ilikuwa enzi za mwendazake, connect dots na yule jambazi sugu la Hai.
Nakumbuka miaka za zamani nikiwa mdogo kabla sijamshitaki kaka ama dada yangu kwa baba ni najipanga kwanza, unaweza kupeleka mashitaka then kibao kikakugeukia wewe unakaangwa vibaya saana !! ndo haya ya kina Kingai.
View attachment 1959245