Ndo akili zako za kibavicha zinavyokwambia?
Unafikiri maadili ya vyombo vyetu vya ulinzi ni kama hapo kwenu Bavicha?
Kwa taarifa yako, si Mara ya kwanza kwa vyombo vya ulinzi kushughulikia wahalifu kwenye nchi!
Fuatilia historia ya nchi hii utajua hata mwaka 1981 wanajeshi kadhaa walikamatwa na kupitia kibano kikali baada ya kufanya jaribio la kumpindua Nyerere!
Baadhi yao ni Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maganga, Kapteni Kadego na Wengine.
Kwenye huo mpango wao alikuwepo Komandoo Tamimu ambaye aliuwawa na vyombo vya ulinzi maeneo ya magomeni baada ya kujaribu kutoroka akiwa anakamatwa
Bavicha mnajifanyaga mna akili kumbe vilaza wa mwisho hata historia ya nchi yenu hamuijui!
Tanzania haijawai kuwa legelege kwenye kudeal na wahalifu haijalishi wewe ni nani