Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Kesi dhidi ya Mbowe: Ushahidi wa Luteni Denis Urio ni muhimu sana

Jeshi letu nalo ni la ovyo kweli. Unaachaje makomandoo wanaofundishwa kwa gharama kubwa wakasumbuliwe na hawa vinyamkera Polisi. Na hao makomandoo kuliko kukamatwa namna hiyo unakufa na mtu aisee. Unless mambo yote ni fictictious.
 
Mwamnyange mwenyewe asingekubali.
Mwamunyange alikuwa Shahidi katika kesi ya kumpindua Nyerere 1981 iliyowausisha wanajeshi kama uliifuatilia sasa sijui Mwamunyange gani unaemzungumzia?
 
Mwamunyange alikuwa Shahidi katika kesi ya kumpindua Nyerere 1981 iliyowausisha wanajeshi kama uliifuatilia sasa sijui Mwamunyange gani unaemzungumzia?
Wewe unamzungumzia yupi?
 
Kabisa mkuu, kama kweli ni yeye aliyechora ramani…. ilikuwaje akamatwe pia na kuteswa huko Mbweni?

Tunahitaji kumsikia.
Hata msaliti nae hujifanya ni mmoja wao shahidi anasema alisikia Urio nae anapiga kelele za maumivu kama mtu anaeteswa kisha akamuona Urio anatolewa kwenye magali mabovu kwa hiyo yeye akumuona Urio akiteswa je aiwezekani watuhumiwa walizugwa tu
 
Endeleeni kuomboleza siku Hukumu yake ikitoka mtajua kuwa mlikuwa hamjui
Acheni huu UPUMBAVU ndio maana mnaishi kwenye makwapa ya watawala sababu mna uwezo duni wakufikiri issue sio mtu kufungwa inatakiwa mtu afungwe kwa kesi ya kweli sio ule UPUMBAF mnafanya

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi ikiendelea ni aibu kwa serikali na ikifutwa na DPP ni aibu kwa serikali. Aibu haikwepeki kwa serikali kwa njia yoyote ile, yani kunyoa au kusuka hawapendezi.
Hebu acheni kumislead watu, hawa watuhumiwa walishafutwa na JWTZ wakati wanakamatwa, harafu hii kesi bado inaendelea na Mbowe inaweza ikamfunga vilevile kwa makosa anayoshitakiwa nayo. Wasingekuwa na ushahidi na kesi iliyosimama wasingeanza kusikiliza kesi, wangeipiga kalenda tu wakisema upelelezi haujakamilika, indefinitely!
 
Wewe unamzungumzia yupi?
Mimi ninamzungumzia aliewai kuwa CDF(Mkuu wa majeshi mstaafu) na ndio maana nimemuuliza huyo anamzungumzia yupi kama CDF mstaafu alishawai kuwa shahidi 1981 tena dhidi ya wanajeshi wenzie kina Komandoo Tamim
 
Kesi nzima ya serikali inaegemea ushahidi wa Urio halafu wanamtesa!!

Na huo ndio ushahidi mkubwa tulioambiwa na Sirro,huyu mzee astaafu tuu sasa.
nakumbuka sasa maneno ya Mdude.... Huyu soroooo, huyu sirrooooo, huyu sirroooo - ameumiza wengi , kumbuka huyu ni mseminar
 
Nachokiona ni kwamba awamu ya tano ya mwendazake JWTZ imedhalilishwa sana na hawa wananchi wakakamavu.
 
Ndo akili zako za kibavicha zinavyokwambia?

Unafikiri maadili ya vyombo vyetu vya ulinzi ni kama hapo kwenu Bavicha?

Kwa taarifa yako, si Mara ya kwanza kwa vyombo vya ulinzi kushughulikia wahalifu kwenye nchi!

Fuatilia historia ya nchi hii utajua hata mwaka 1981 wanajeshi kadhaa walikamatwa na kupitia kibano kikali baada ya kufanya jaribio la kumpindua Nyerere!
Baadhi yao ni Luteni Zacharia Hanspope, Kapteni Maganga, Kapteni Kadego na Wengine.

Kwenye huo mpango wao alikuwepo Komandoo Tamimu ambaye aliuwawa na vyombo vya ulinzi maeneo ya magomeni baada ya kujaribu kutoroka akiwa anakamatwa

Bavicha mnajifanyaga mna akili kumbe vilaza wa mwisho hata historia ya nchi yenu hamuijui!

Tanzania haijawai kuwa legelege kwenye kudeal na wahalifu haijalishi wewe ni nani
Tatizo lenu mnajiona nchini ni ya kwenu zaidi kuliko wengine.
Mnajiona vyombo vya ulinzi na usalama hasa PT ni vya kwenu zaidi kuliko vya wananchi!
Kwa taarifa yako usiishi zamani... Zama zimebadilika! 1981 hadi leo ni 40 years.
Hii kesi ina mashahidi wengi ambao si raia wa kawaida. Na Ukweli unafahamika!
We jidanganye!

NB: mnaiogopa Bavicha hadi mnafanya makosa obvious! Wengine ni free radicals!
 
Ndo mnavyojidanganya hapo ufipa? Kweli mmekosa akili nyie watu!

Inaelekea una umri mdogo sana! Uliza komando Tamimu alifanywaje na vyombo vya dola mwaka 1981 baada ya kuongoza jaribio la kutaka kumpindua nyerere?

Tanzania kwenye kudeal na wahalifu haijalishi wewe Nani wanakupa dozi tu!
Rudi maktaba ya taifa kasome magazeti. Uhaini na Ugaidi ni kesi tofauti. Hili la Mbowe serikali inajuta kufanya ujinga huu.
 
Tatizo lenu mnajiona nchini ni ya kwenu zaidi kuliko wengine.
Mnajiona vyombo vya ulinzi na usalama hasa PT ni vya kwenu zaidi kuliko vya wananchi!
Kwa taarifa yako usiishi zamani... Zama zimebadilika! 1981 hadi leo ni 40 years.
Hii kesi ina mashahidi wengi ambao si raia wa kawaida. Na Ukweli unafahamika!
We jidanganye!

NB: mnaiogopa Bavicha hadi mnafanya makosa obvious! Wengine ni free radicals!
Jamaa analeta habari za enzi za mawe, enzi za Giza
 
Kufungua threads nyingi kuomboleza kuwa Mbowe Hana hatia nikujichosha bure hizi porojo na blah blah hazimfutii ugaidi

Tanzania bila ugaidi inawezekana

Unepaniki, mtaani tunasema. Kuna sehemu yoyote mleta mada amesema washitakiwa hawakutenda kosa?? Sio polisi wala wewe tunaweza kumfutia au kumpa mtu yeyote makosa. Ni mahakama!!

Hata tafsiri ya ugaidi bado huijui - ugaidi sio kumshutumu mtu kwa kosa - ungekuwa unafuatilia jambo hili kwa ufahamu ungeshajua mambo mengi, ikiwemo na kuwa ugaidi Tanzania unawezekana!!
 
Bro, nimegundua kuwa Mtanzania ana roho mbaya kuliko Wahutu, hasa ccm sehemu yao ni KUZIMU
Ujue mtu anakaa kbs anafurahi mateso ya Mbowe au mtu unaona anatoa maneno ya kumkebehi Tundu Lissu na ukatili aliofanyiwa.
 
Back
Top Bottom