Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hapana hii kesi katika utawala wa sheria haina mandate na ilipaswa iwe imeshatupiliwa mbali lakini figisu figisu ndio zimefanya iwe hai mpaka leo hii...Jr, mbona umetoa maoni mapema! tunaomba tushinde, tuwe na subira