Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Thubutu !Eti hii ndio nchi ya viwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu !Eti hii ndio nchi ya viwanda.
Hahahaha, hata iweje siwezi nikakubali kufanyiwa Cross Examination na Lissu.
Wakisikia Lissu yumo , wanafuta kesi wiki ijayo .Tundu Lissu, Mtwobyesa, Ishebakaki, na wengine. Jumla wako saba au nane
Basiiiii msamehe arudii tenaKatika maisha yako ulishauliza swali la maana sijui hata kama baba yako unamjua wewe muulize mama yako swali la maana kwa Mara ya kwanza katika maisha yako
Nashauri ukaguzi wa vyeti uwapitie hawa jamaa.Ipo siku hawa askari polisi wakiskia kesi flani Lissu atakuepo wataghairi kwenda mahakamani.
Lissu anawasumbua sana polisi alafu kwa bahati mbaya polisi wanajua commanding tu sheria hawajui
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nashauri ukaguzi wa vyeti uwapitie hawa jamaa.
Tundu Lissu anamuuliza sasa " ulisema kuwa katika barua hiyo JF ilijibu kuwa ina wajibu wa kulinda faragha za wateja wao. Kwa ufahamu wako kuna haki ya kila mtu kulindiwa faragha ya mawasiliano yake au hakuna?"
Jibu: Inategemea
Tundu Lissu: Haki ipo au haipo??
Jibu: Kwa private person sifahamu...
Tundu Lissu: Kwa ufahamu wako kuna haki ya kulindiwa faragha ya mawasiliano kwa kila mtu including private persons?
Jibu: Sifahamu
Kazi kweli[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata mabuti hatayavua. Hah hah hah hahaaaaaHuyo askari lazma alale na sare leo[emoji12] [emoji12]