Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaulize wewee basi..Lisu hajauliza swali hata moja la maana!
Je umeona Kozi alizopitia za kujua kusoma na kuandika bila kufikiri au ku-reason?Kwa kadili anavyoendelea kusema sifahamu, huyo shahidi ata akiulizwa kama ameoa au kuolewa anaweza kusema sifahamu! hayo maswali ya uchokozi yashamtoa kwenye mood tayari, keshapanic.
Muheshimiwa anamkubari kimoyomoyoKwa mara ya kwanza namuona mheshimiwa Rais anampongeza TL kwa uzalendo anaounyesha. Classified information kama hii aliyoitoa FUHRER ni wazi mheshimiwa Rais kama aliiona ni lazima aliifanyia kazi na aliipenda. Ni wazi kuwa Tundu Lissu anatetea masilahi ya Taifa katika hili na kama Mh Rais anaifatilia hii kesi, namuomba awachuze hawa wapelelezi wanaodai kuiwakilisha jamhuri kumbe wanawatetea wezi wa kodi. Tundu Lissu kwa hili unalolifanya nakuhakikishia Mh Rais ni lazima amekukubali kwa hili japo kuna mengine huwa unaropokaropoka tu wala hayana faida yeyote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuuh tundu lisu anatisha. ... anakugonga maswali mpaka unaonekana fala
mbona kibalaka wenu ameshindwa kujibu pamoja na kusaidiwa na hakimu? utakufa na roho yako mbaya!Lisu hajauliza swali hata moja la maana!
genuine certificate but with fake education.Huyu askari ndio aliowa-refer Prof. Shivji, he has genuine certificate but with fake education.
alafu kwa bahati mbaya polisi wanajua commanding tu sheria hawajui.Ipo siku hawa askari polisi wakiskia kesi flani Lissu atakuepo wataghairi kwenda mahakamani.
Lissu anawasumbua sana polisi alafu kwa bahati mbaya polisi wanajua commanding tu sheria hawajui
60% hawatabaki salama si unajua vigezo vilivyotumika kuwachukua!Nashauri ukaguzi wa vyeti uwapitie hawa jamaa.
Nakumbuka Intake yetu ya jeshi ya mwaka 1969 wawili tu ndio tulikuwa na vyeti vya form IV wengine Bashite tupu hadi leo wapo na wana vyeo vikubwa kweli kweli na hawataki ku-retire.Nashauri ukaguzi wa vyeti uwapitie hawa jamaa.