Kesi namba 456: Jamhuri dhidi ya JamiiForums - Oilcom na Uchakachuaji/Ukwepaji kodi bandarini Dar

Kesi namba 456: Jamhuri dhidi ya JamiiForums - Oilcom na Uchakachuaji/Ukwepaji kodi bandarini Dar

Wakati Mkurugenzi wa Jamii Forum anamtafuta mtu mahili aliyesoma na kuelewa vitu na kuvitendea kazi Mh., Mbunge, Mwanasheria, Rais Antipus Tundu Lissu Serikali ya CCM inatafuta watu wanajua kusoma na kuandika bila uwelewa, vilaza, ndio , sijui, sina uhakika, wenzangu watakuja kujibu, ngoja nikaulize..... tunawalipa bure kodi zetu.
Mkuu kwa upande mwingine tunakua tunawalaumu bure, hizi kesi ni za kisiasa hazina mantiki, na wao kwa NJAA hawawezi kataa kwenda mahakamani maana kazi atafukuzwa!!

LAKINI JIULIZE KWANINI POLISI HAWAJAKAGULIWA VYETI LEAVE ALONE BASHITE AND THE ALIKE!
 
Eti yak
Mambo yashaanza kunoga hapa. Shahidi aliishtaki JamiiForum. Kaambiwa aonyeshe cheti cha usajili yakanamtoka macho
Eti yakamtoka macho!!macho yapi hayo ya mjusi guluguja aliyebanwa na mlango au Fundi saa anayetafuta adjust ya funguo iliyopotea ndani ya saa..
Fafanua mkuu!!!...
 
Kumbuka hata Lissu ni mwanajamvi na nitamsupport katika suala la kutetea uhai wa jamvi...hii haimaanishi mimi kuacha kuhoji na kumchallange...
just to make him and them do the right things for our nation.
Hilo ndio neno nilikua nalihitaji mkuu! kidogo naona umeanza kumuelewa LISSU!! sasa jiulize je huko lumumba hakuna mawakili? kama wapo kwanini hawakuenda kutetea JF!!

Na kama ccm hamna wanasheria kwanini MAGUFULI kama rais asingeipigania JF kama kweli anapingana na uhuni kama huu?

Again, kesi imefunguliwa na serikali nikimaanisha serikali ya ccm chini ya magufuli! je kama serikali inafungua kesi kama hizi huoni kama INA NIA YA KUFICHA UOVU?

NB: Uchama na siasa nimeweka pembeni!
 
Mbona unanisakama hivi!?
Nimeandika ujumbe kwa wenye forum kama uoivyousoma, unanilazimishaaaaaa nini tena unataka niandike ukisome. Kaa ujue kila mtu ana njia yake ya uandishi.
Mimi sijakusakama! nilikua nakwambia tu, LISSU anapigania haki yako wewe na wenzako wa ccm ambao mko humu JF! tumuombee LISSU ili JF iwe salama!
 
Nasoma,uku nafsi ikiingiwa na ubaridi,

MOLA SIMAMA NASI.....
 
Wacha nicheke tu hahaha ,hawa mashaidi sijui huwa wanawaza nini au wanatolewa wapi
 
Mimi sijakusakama! nilikua nakwambia tu, LISSU anapigania haki yako wewe na wenzako wa ccm ambao mko humu JF! tumuombee LISSU ili JF iwe salama!

Mbona bado unakazania hivi...ha ha haaaa

Ngoja nimalize homework yangu unajua tena walimu wa shule za msingi walivyo, nisije nikatandikwa viboko bure kesho. Ha ha haaaaaa

Usisahau kuniandikisha uanachama wa CCM, ukipata kadi yangu scan nirushie kwa post humu na kunitag.
 
Hilo ndio neno nilikua nalihitaji mkuu! kidogo naona umeanza kumuelewa LISSU!! sasa jiulize je huko lumumba hakuna mawakili? kama wapo kwanini hawakuenda kutetea JF!!

Na kama ccm hamna wanasheria kwanini MAGUFULI kama rais asingeipigania JF kama kweli anapingana na uhuni kama huu?

Again, kesi imefunguliwa na serikali nikimaanisha serikali ya ccm chini ya magufuli! je kama serikali inafungua kesi kama hizi huoni kama INA NIA YA KUFICHA UOVU?

NB: Uchama na siasa nimeweka pembeni!
Kwa hiyo unataka kutuaminisha Chadema imemtoa lissu kuitetea JF....??Ili baadae walipwe nini??yaani unataka tuwe wamoja kwenye hili huku unataka kuaminisha jamvi kuwa lissu kaenda kwa kuwa ni mwanachadema!

Naona kijana wewe bado ubwabwa wa shingo haujakutoka ndani ya jamvi hili....endelea kujifunza maisha ya jamvi hili utakuja kulielewa vilivyo....

Utalielewa kuwa jamvi hili halina uadui na CCM au Chadema au CUF bali wote wanaokengeuka dhidi ya maslahi ya Taifa....hata lissu akifanya hivyo jamvi litamuweka sawa kupitia kina the likes...Jingalao na akifanya vyema atasifiwa sana na kupandishwa na kina the likes ...Jingalao.

Jifunze kijana.

By the way nawatakia kila la kheri wakuu wetu wa Jamvi kuelekea ushindi wa kesi hii.

Kesi hii hatutashinda kwa sababu ya lissu bali kwa sababu kuna mzalendo alijitokeza kusema ukweli mchungu kwa niaba ya wapinga UFISADI.
 
Hii kesi tutashinda,.

Mtanange wa majibizano ni murua kabisa , kwa hali hiyo ya maswali eti mtu anasema kiongozi anatakiwa kujua kusoma na kuandika!!!

Tujuzane mwelekeo wa kesi hapo kesho wakuu
 
Kwa hiyo unataka kutuaminisha Chadema imemtoa lissu kuitetea JF....??Ili baadae walipwe nini??yaani unataka tuwe wamoja kwenye hili huku unataka kuaminisha jamvi kuwa lissu kaenda kwa kuwa ni mwanachadema!
Tuliza munkari mkuu, NANI KASEMA MASWALA YA CHADEMA HAPA KAMA SIO WEWE UNAYEYALETA? mimi naongelea LISSU kwenda mahakamani kupigania uhuru na haki zako hapa JF maswala ya CHADEMA wewe ndio umeyaleta na sijui unamaanisha nini kwa kweli!

Naona kijana wewe bado ubwabwa wa shingo haujakutoka ndani ya jamvi hili....endelea kujifunza maisha ya jamvi hili utakuja kulielewa vilivyo....
Utalielewa kuwa jamvi hili halina uadui na CCM au Chadema au CUF bali wote wanaokengeuka dhidi ya maslahi ya Taifa....hata lissu akifanya hivyo jamvi litamuweka sawa kupitia kina the likes...Jingalao na akifanya vyema atasifiwa sana na kupandishwa na kina the likes ...Jingalao.
Sijui unamaanisha nini lakini kwa taarifa yako tu, nimeijua JF tokea mwaka 2010 (kabla ID yangu haijaleta usumbufu na kulazimika kufungua ingine), unfortunately wewe umeijua mwaka 2011 na sina shaka nikisema bado mimi ni mkubwa wako hapa JF!!
Jifunze kijana.

By the way nawatakia kila la kheri wakuu wetu wa Jamvi kuelekea ushindi wa kesi hii.
Yes, ila umesahau kumtakia kila la heri mh. LISSU!
Kesi hii hatutashinda kwa sababu ya lissu bali kwa sababu kuna mzalendo alijitokeza kusema ukweli mchungu kwa niaba ya wapinga UFISADI.

Mkuu naona unajichanganya kwa kiasi kikubwa sana!! huyo mzalendo serikali ya ccm ingemjua unadhani angekuwepo uraiani mpaka sasa ivi?

Hii kesi tutashinda kwa kuunganisha nguvu zetu na dua zetu uongozi wa JF na Mh mpenda haki na kiongozi mahiri kabisa ndugu LISSU!! HIi ni fact mkuu!!

Je unajua hii kesi imefunguliwa na upande wa serikali ya ccm chini ya magufuli!!??? which means wanatetea huo unao uita ufisadi!!!

Najua ukweli unauma mkuu ila twende pamoja hata kama unaumia!! tumuombee LISSU na uongozi wa JF katika kupigania haki yako na ya kila mwana jF humu ndani!!!
 
Sikuchambi mkuu, hapa tunaweka siasa pembeni kwa manufaa ya TAIFA na JF ambapo ndio uwanja wenu wa kupiga pesa huko lumumba!

JF ikifutwa nna uhakika hata wewe kazi utakua huna na mwisho wa siku chakula kitakua hakuna kwa shem wetu na familia kwa ujumla!

Tujiunge kwa pamoja tuseme NO kwa wabaka sheria akiwemo mkuu wenu, tujiunge kwa pamoja kumpigania shujaa wa sheria ukanda wote wa kaskazini mwa jangwa la sahara ndugu Mh. wakili msomi na rais wa TLS Tundu Lissu ambaye yeye kaacha kazi zake na kuenda kukutetea wewe na wenzako wa lumumba!!

JF forever JamiiForums AshaDii Maxence Melo Mzee Mwanakijiji

Ila wewe unachekesha aisee!!
Haya bwana
 
Back
Top Bottom