Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kweli mkuuNakumbuka Intake yetu ya jeshi ya mwaka 1969 wawili tu ndio tulikuwa na vyeti vya form IV wengine Bashite tupu hadi leo wapo na wana vyeo vikubwa kweli kweli na hawataki ku-retire.
Wanachofundishwa ni utabiri wa fujo kama tu wapinzani wakifanya mikutano ya siasa na maandamano ya amani nothing else, lakini jinsi ya kutenda haki Zero.Kweli mkuu
Hujui kuwa wanatakiwa kupata kibali cha mahakama cha kuomba taarifa hizo za wateja?Lisu na wenzie wanafanya kazi ya kuwaokoa wateja wao na adhabu tu na si kusimamia msimamo wa jf kuzuia taarifa. Baada ya kesi na watuhumiwa kuwa wamepunguziwa adhabu, jf itatoa ushirikiano kwa polisi kuliko chombo chochote cha habari.
Mkuu, upolisi ni ukakamavu wa mwili na sio akili. Hakuna polisi aliyekomaa kiakili ndio maana wanatumika tu kirahisiBadala ya kuzifanyia kazi taarifa wao wanadili na mtoa taarifa hao ndiyo polisi wetu
kwa misingi ipi labda?Lisu na wenzie wanafanya kazi ya kuwaokoa wateja wao na adhabu tu na si kusimamia msimamo wa jf kuzuia taarifa. Baada ya kesi na watuhumiwa kuwa wamepunguziwa adhabu, jf itatoa ushirikiano kwa polisi kuliko chombo chochote cha habari.
Utatekwa shauri lakoMkuu, upolisi ni ukakamavu wa mwili na sio akili. Hakuna polisi aliyekomaa kiakili ndio maana wanatumika tu kirahisi
sio kwamba nawaonea wivu ila wanalirudisha taifa nyuma kama ilivyotoea leo mahakamani sasa jamii inajifunza nini kuhusu huyo askari?Nashauri ukaguzi wa vyeti uwapitie hawa jamaa.
Yule (Mh. Lissu) ni rahisi kummudu wakati wa Cross Examination. Kuna mbinu nyingi za kummiliki kwenye mahojiano ya namna hiyo. Moja ni kufanya delay tactic na legal provocation technique; akiziruka hizo unamletea nyingine(sizitaji)! Lazima ahame kwenye mstari na akose cha kuuliza ama aulize off target!Hahahaha, hata iweje siwezi nikakubali kufanyiwa Cross Examination na Lissu.
Rais huwa anasemaje kuhusu msema ukweli? ????Utatekwa shauri lako
Sikuchambi mkuu, hapa tunaweka siasa pembeni kwa manufaa ya TAIFA na JF ambapo ndio uwanja wenu wa kupiga pesa huko lumumba!Unatuchamba au!!
ndio ujue mazingaombwe ya kuwa mu afrika wa kitanzaniaKama taarifa ilisaidia serikali juu ya ukwepaji kodi kwanini serikali
Ilazimishe huyo Whistle Blower ajulikane?