Kesi namba 456: Jamhuri dhidi ya JamiiForums - Oilcom na Uchakachuaji/Ukwepaji kodi bandarini Dar

Lisu na wenzie wanafanya kazi ya kuwaokoa wateja wao na adhabu tu na si kusimamia msimamo wa jf kuzuia taarifa. Baada ya kesi na watuhumiwa kuwa wamepunguziwa adhabu, jf itatoa ushirikiano kwa polisi kuliko chombo chochote cha habari.
Hahaha umepanic mkuu hebu tulia dawa ikuingie vizuri.
 
CCM hili jina la Tundu Antipas Lissu hawapendi kulisikia hata kidogo sema hawana jinsi watafanyaje?
 

Nenda kasaidie hao vilaza hizo mbinu zako ili Lissu aende off target. Unasema kummudu wenzio wanategemea kuteka wapi na wapi? Huyo Lissu mnammudu sehemu moja tu pale mnapotumia dola kumdhalilisha lakini mahakamani kwenye haki huwa hamna mpya dhidi yake.
 
Maswali ya mkuu Tundu Lissu akiwa kizimbani hunifurahisha sana, yaani shahidi Inaweza jikuta kajibu, mh hakimu Maneno hayo siyo yangu labda kama niliyaongea ndotoni.
Ahaaaa....sipati Picha kama mawakili walio reserve ni Kibatala Peter na Msando Albert , maana Lieu kuipata kitu ya maji , basi mmoja wao Inaweza ingia mtu kati kwaajili ya kuendelea kusimamia shoo ya kibabe. Mbona mwera wataomba poo aisee.
 
Na mweshimu Mh. Lissu sana kama Mbunge na Mwanasheria anayejua kujenga hoja na anayejua kutetea wataje wake.

Ninachotaka kusema hapa Mh. Lissu ni binadamu, si Mungu wa sheria. Hivyo ninaamini wapo wanasheria wengine wanaoweza kumbana kama watatumia mbinu zile anazozitumia yeye ila wakiwa wameziboresha. Kama ungetumia jicho la tatu kusoma post yangu ungegundua kuwa nilikuwa na wahimiza wanasheria wengine waboreshe mbinu zao za kiuanasheria na pia hata yeye (Mh. Lissu) astuke. Astuke asije akabweteka (kwa uungu wakisheria wa baadhi ya wenzake wanaompa) na baadaye akawaabisha TLS. Wanasheria wengine badala ya kubuni na kuboresha mbinu za kukabiliana na changamoto za kiuanasheria wawapo kazini, wanavizia kumsikiliza Mh. Lissu tu anavyofanya vitu vyake mahakamani ili nao watumie mbinu zake hizo (tena kibaya zaidi kwa kukopi na kupesti) katika shughuli zao.

Kwa utaratibu huu wanasheria hawa hawataweza kuwasaidia watanzania. Ndiyo maana nimeandika hicho kilichokuprovocke ili wabadilike! Ila ukweli unabaki pale kuwa kwa mbinu hizo mbili nilizozisema awali, kama Mh. Lissu hataboresha mbinu zake, anaweza kutolewa kwenye reli wakati anamfanyia mtu cross examination kama mtu huyo atazitumia mbinu nilizoeleza!

Tusimfanye Mh. Lissu Mungu wa sheria ila tumtumie kama role model tu wa kisheria na tujifunze kwake ila tusimkopi.
=====
Utakuwa umenielewa.
 
Ifike mahala tuwe tunapewa ratiba ya Lissu akiwa mahakamani basi tuwe tunahudhuria kupanda uondo,unajua hapa tunakosa kumuona ndugu shahidi slivyokuwa mpole
Na ikiwezekana wawe wanatupia hata youtube ili tujionee na siye tulio mbali!
 
Endelea kutupakulia kk,tunafuatilia hii mambo
 
Endelea kutupa mambo,tunafuatilia
 
Yu saundi laiki mwakyembwe! Donti yuu?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu,huo utani ni ngumi kabisaaas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…