Pamoja ya kuwa mtafanyiwa fever na mahakama za magufuli. Lakini chini ya mawakili mahili wasomi wakiongozwa na Kibatala, mjiandae kuvuliwa pichuhoja ni kwamba usifikiri kina halima hawana akili waende mahakamani kushitaki huku wakijuwa walifiji ndugu hapo mbowe na mnyika wanaumbuka mapema mno