Kesi ya Halima Mdee na wenzake, vigogo waliogushi nyaraka wote kuanikwa

Kesi ya Halima Mdee na wenzake, vigogo waliogushi nyaraka wote kuanikwa

hoja ni kwamba usifikiri kina halima hawana akili waende mahakamani kushitaki huku wakijuwa walifiji ndugu hapo mbowe na mnyika wanaumbuka mapema mno
Pamoja ya kuwa mtafanyiwa fever na mahakama za magufuli. Lakini chini ya mawakili mahili wasomi wakiongozwa na Kibatala, mjiandae kuvuliwa pichu
 
Lete uthibitisho achana na hearsay
Wewe una uthibitisho kuwa mnyika ndio aliesaini hiyo form?? Kama kuna huo ukweli kwanini covid-19, bunge na NEC wasitoke hadharani kuthibitisha kuwa chadema, mnyika au Mbowe walihusika??
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ingekuwa kuna nyaraka imeghushiwa si wangeshitakiwa zamani sana😁
Yaleyale mtu anahojiwa BBC anasema wenzie na Mbowe walishahukumiwa tayari wanatumikia vifungo vyao,kwenda mahakamani Swila anamkana mtu mchana kweupeee. Ndugu mazingaombwe ya CCM watu waliyshayachoka wanawasubiri wao wajitekenye ndio wayamwage kwa umma.
 
Mimi naona Kubenea akitumia Gazeti hili kwa niaba ya Chadema ili kuwatisha kina Mdee wafute kesi kabla ya vigogo wa Chadema hawajaumbuka kuhusu Signature iliyoko kwenye nyaraka zao huko Mahakamani.

Nani alisaini nyaraka za kina Mdee kwenda NEC na Bungeni?
 
Mbona mashitaka mengine huwa yanapelekwa na mawakili wa CHADEMA? KWANINI hili mnaloita kuwa Halima amefoji hamjawahi kwenda hata kulalamika kituo cha polisi wala kukusudia kushitaki?
Kila jambo na muda wake, timing is very important to note.
 
Ingekuwa kuna nyaraka imeghushiwa si wangeshitakiwa zamani sana[emoji16]
Subiri filam ndio ina anza. Mlibeza wakati kesi ya kubumba ya Mbowe mwisho mlipo ona mna adhirika mka omba poo. Sasa endeleeni mvuliwe chupi.
 
Mimi naona Kubenea akitumia Gazeti hili kwa niaba ya Chadema ili kuwatisha kina Mdee wafute kesi kabla ya vigogo wa Chadema hawajaumbuka kuhusu Signature iliyoko kwenye nyaraka zao huko Mahakamani.

Nani alisaini nyaraka za kina Mdee kwenda NEC na Bungeni?
Aliye authorize mmoja wa hao Covid19 kutolewa gerezani(this doesn't mean that I know the person who authorized it) usiku na kupelekwa Idodomya na kuapishiwa kwenye mahema is part and parcel of the whole fucking fracas that occurred, yaani hiyo kabla hata ya hizo forgery documents ni kwamba Officer in charge wa gereza husika akibanwa na mahakama lazima atausema ukweli then mtiririko wa documents za kufoji na mengineyo vitafuata.
 
Aliye authorize mmoja wa hao Covid19 kutolewa gerezani(this doesn't mean that I know the person who authorized it) usiku na kupelekwa Idodomya na kuapishiwa kwenye mahema is part and parcel of the whole fucking fracas that occurred, yaani hiyo kabla hata ya hizo forgery documents akibwana Officer in charge wa gereza husika akibanwa na mahakama lazima atausema ukweli then mtiririko wa documents za kufoji na mengineyo vitafuata.
Salute Mkuu..
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom