KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

Hivi mtu unayempenda unaku.tia kila siku kaanguka ghafla ndugu yake anasema namtafuta Dr aje ww unaweza kweli ukaenda coco kula upepo. Huyu dogo ahojiwe vzuri.
Hivi watoto wanapendaga,si alikuwa anakabaka tu.
 
wewe, kulewa na kuanguka vinawezekana sana inategemea umeangukaje na wapi! Sakafu, unapata brain concussion!
Soma tena sijasema haiwezekani kulewa na kuanguka.
Swala ni kuanguka kwa 'momentum' kubwa kiasi cha kupata brain concussion.
Bye.
 
Mmh chini ya miaka 18 ww ndo mama mzazi wake au?
 
Hee!kumbe mkubwa...basi kwenye hii kesi kazi anayo
Swala la umri lilishaitimishwa kesi ya awamu ya kwanza, kipindi cha mauaji alikua 17yrs according to vizazi na vifo, leo Judge Rumanyika kamtega kuhusu leseni ili ku'establish vitu vya kisheria ambavyo kwenye hitimisho wavitumie kumkaanga Lulu,
E.g kipindi kile alikua under 18, sasa ikawaje akapata leseni? It mean alidanganya umri au pengine leseni ilikua fake! It means kaidanganya mahakama na hata utetez wake usiaminike, bla bla kama hizo
All in all Mungu amsaidie Lulu ktk kipindi hiki kigumu anachopitia
 
Kumbe ww ndo hujielewei hakuna akili mbovu Kama za utoto Kama alikuwa na miaka hiyoo asingeenda coco kwenda
 
Fafanua mkuu,

Inahitajika momentum kias gan ili mtu sipate brain concussion?
Sijui.
Hivi hujawah kujikwaa ukaanguka?au kutereza mwenyewe ukiwa umelewa?Uliangukia kichwa hopelesly?Uliumia?
Am sorry nilisahau kanumba alikuwa mzito sana na kichwa kikubwa.
 
hapo "judge"-wakili au mwendesha mashtaka anajaribu kumuokoa Lulu ili kupata uthibitusho kuwa ni underage !marejemu huko aliko jasho linamtoka!
 
Kumbe ww ndo hujielewei hakuna akili mbovu Kama za utoto Kama alikuwa na miaka hiyoo asingeenda coco kwenda

Ulitaka aende wapi? Na Kanumba alitakiwa akalee katoto kakue ktk misingi mema ya kumcha Mungu ila yeye akawa anakakomaza na kukaraghai

Lulu is innocent
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…