TRUE TANZANIAN
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 433
- 472
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] naamini hata wakili wake hakuwaza kama watamuuliza swali kama hilo na tokea hapo ndo utajua alishamezeshwa yakusema halafu kinakuja kitu kingine.....Kinatafutwa justification kwamba aliua akiwa Minor au magumashi!. Mahakamani ni kama mchezo wa draft. Unaweza ukawahi kuingia kingi lakini kingi yako ikaliwa vile vile!.
Daaaah mkuu mkuu naomba punguza hasira mkuuu. Hakakadada ni kahuni basi kumbe kalikula na mzee wa CCM mbele kwa mbeleeee!! Si ajabu kule nako kalichangia mambo flani kachunguzwe vzr[emoji57]Kujichanganay huko ni UTHIBITISO WA UWONGO!. MTU MWONGO SIKU ZOTE KUJICONTRADICT. ANGELIKUWA ANASEME UKWELI ANGE FLOW SAWA SAWA NA WANGELIONA HAKUNA MAHALA ANAJICHANGANYA.
KUJICHANGANYA KWAKE HASA NDICHO KINACHOTHIBITISHWA KWAMBA TAARIFA IMEANDIKWA KWENYE SCRIPT AKAFUNDISHWA KUSEMA ASIJUE KWAMBA ANAOKUTANA NAO SIYO BONGO MOVIE NI WASOMI WANAOJUA KAZI YAO.
TATIZO KUBWA LA HAKA KATOTO NI KAONGO KAONGO TU, HUWEZI KUKAAMINI KWA LOLOTE.
MFANO, KUKATAA KWAMBA HAKUWA NA UHUSIANO NA MAREHEMU KOMBA WAKATI SISI NI MASHAHIDI HATA ALIVYOKUWA AKIMFUATA HADI MBINGA KULE, NA KANAWEKWA HOTELINI TUNAFAHAMU BILA HAYA KANAKUWA NA YULE MZEE HADHARANI. LEO KANASEMA HAKAKU DATE NAYE. KASHENZI TU! UMALAYA UMEKAJAA!
Utajua mwenyewe na kichwa chakoHivi ni Lumanyika au Rumanyika?
Hajasema kua kanumba kafaje,,yaan ilikuwaje kanumba akadondoka?Huyu jaji kamwandama sijawahi ona atakuwa ni mjomba wake na kanumba
Na hapo alishafanyaga birthday ya kutimiza miaka 18,,lakin kesi ilivyotokea tu akawa chini ya umri wa miaka 18 haahhahaahhalisema alikuwa hajatimiza miaka 18 wakati huo! lazima aulizwe aliendeshaje gari bila leseni! na kama alikuwa na leseni aliipataje wakati alikuwa hajatimiza 18.......
Usiwe mwepesi kunyoshea mwenzako kidole, hii dunia hakuna mkamilifu ndugu, ni kwa vile hapo umejificha kwenye keyboard ndio maana mapovu yanakutoka tu, ila una mengi ya gizani pengine kuliko huyo Lulu
Alafu umekazania ooooh Lulu alikua anakazwa na Komba, sasa cha ajabu nin hapo?? Lulu si wa kike? Ulitaka akazwe na ngedele bse kukazwa na Komba imekuuma sana!
Au ulitaka ukazwe wewe
Sio kweli mim lulu naweza kua nimemzidi miaka miwili au mmoja tululu ni mtt sana anaeza kua amezaliwa 95 hadi 96
sema kacheza mechi nying kubwa ndo zinamzeesha
Yeye kama mtu wa mwisho kuwa na marehemu atakuwa anajua ukweli kamili.Binafsi mpaka leo kwangu ni mazingaumbwe nini kilimuondoa Kanumba fasta namna ile
amekosa watu wa kumshauri sijui,nilitegemea muda wote huo kakaa nje alikua keshajiset,matokeo yake anaongea ujinga kama huo mahakamani..nakumbuka dingi yangu mdogo alikuaga hakimu,ilikua kila jioni watu wenye kesi zao wanamtembelea nyumbani kwake,anakua anawafundisha namna ya kujitetea mahakamani,sasa huyu alikalia kula bata tu na wakati anajua ana mtiti mbele yakeMm sitak afungwe Ila naona utetezi wake utamfunga
Upo sahihi. Kulikubali kosa la kuendesha gari bila leseni ni nafuu kuliko huko kudanganya alikokufanya ili kuficha kosa la kuendesha gari bila kuwa na leseni halali.Nayajua yote hayo.
Ndiyo maana nikasemakama kweli alidanganya mambo ya leseni (kama aliendesha bila leseni au alikuwa na leseni feki), wakili mjanja angemwambia kubali kosa la leseni tuliondoe katika mjadala ili tushinde kesi ya mauaji.
Ukishindwa kesi ya mauaji, hukumu yake itafanya kesi ya leseni ifunikwe kabisa.
Wakili wa utetezianaweza kunyumbulisha kesi kwamba mteja wangu si malaika, ana makosa, kaendesha gari bila leseni, lakini kuendesha gari bila leseni si sawa na uuaji, kuna watu kibao wanaendesha magari bila leseni lakini si wauaji, mpeni kifungo au mpigeni faini ya kuendesha gari bila leseni.
Ukiwa muongo katikakuendesha gari bila leseni, unapoteza uaminifu ni kweli, lakini hilo halimaanishi kwamba uongo huounakufanya uwe muuaji.
Hakuna kinacho fichwa hapo, jamaa alikuwa anataka kumcharanga mapanga Lulu, na yeye Lulu kajihami pengine angembaka utatembeaje na watoto wa miaka chini ya 18?Nimesoma maelezo hayo kama ndivyo alivyoeleza basi asubiri mvua zake kadhaa.inaonyesha kuna kitu kikubwa kimejificha.Hasa kuhusu hilo panga.je Lulu alikuwa mtu wa kumshikia panga kweli.je Aunt Ezekieli umshikie nini? SMG?
Kwetu ukuriani ni kawaida sana kukimbizwa na pangaJe mtu unayempenda unaweza kumkimbiza na panga?