NCHII HAIWEZI KUENDESHWA KWA KUWATEGEMEA MABALOZIHahah mbona mataga pori umepanic namna hii??
Nani kasema wapi kuwa mabalozi watafanya nini?
By the way jana nimeona tamko la wizara, serikali ikilalamika Dermark kufunga ubalozi wao hapa Tz means serikali yako ya CCM inawahitaji sana hawa mabalozi kuliko wanavyokuhitaji wewe.
Safi sana.Kesi aliyoifungua Freeman Mbowe Mahakama kuu dhidi ya IGP , DPP na AG ya kupinga namna alivyokamatwa Mwanza na kupewa kesi ya uongo ya Ugaidi , imeendelea leo Mahakama Kuu na kuvuta lundo na wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa , ama labda kuliko kesi yoyote ya namna hii iliyowahi kusikilizwa barani Africa
View attachment 1916588View attachment 1916590View attachment 1916587View attachment 1916586
Kabisa. Unajua tatizo la hivi vi-afrika vyenye dhamana ya uongozi vinadhani vyenyewe vina akili na uwezo kama Mungu! Vikipata madaraka kidogo tu vinajisahau na kujiona kama vina mamlaka ya kusema au kufanya lolote. Vijinga sana.Mulamula saa hizi amebanwa na tumbo la kuhara!
wawakilishi kwani lazima wawe wazungu? acha upumbavuYAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU
Wee nawe boya tu, yaani mtu mmoja amekwishakuwa CHADEMA?YAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU
Kesi zote mbili zipo; yaani Mbowe Vs Serikali na Serikali Vs MboweAsante kwa taarifa , Barikiwa mdau wangu wa ukweli! Lakini hapo kwenye heading ya thread, nafikiri uandishi sahihi ni KESI YA SERIKALI DHIDI YA MBOWE NA SIO KESI YA MBOWE DHID YA SERIKALI. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ni Serikali ndo imemfungulia mbowe kesi na sio Mbowe aliyeifungulia serikali kesi!
Hii siyo kesi ya Ugaidi , ni kesi aliyoifungua Mbowe akipinga aliyotendewa na serikali , ile nyingine ya serikali ikitajwa tutakuambiaAsante kwa taarifa , Barikiwa mdau wangu wa ukweli! Lakini hapo kwenye heading ya thread, nafikiri uandishi sahihi ni KESI YA SERIKALI DHIDI YA MBOWE NA SIO KESI YA MBOWE DHID YA SERIKALI. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ni Serikali ndo imemfungulia mbowe kesi na sio Mbowe aliyeifungulia serikali kesi!
Amina[emoji122]Mungu mbariki Mbowe, mtetee, mpe ujasiri wa kuhimili majaribu yanayomkabili, daima uwe naye!
Mungu ibariki CHADEMA, na watetezi wa haki za Binadamu nchini!
Kuanzia mbili ni wingi, wewe ulitaka wawe wangapi?YAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU