Kesi ya Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaanza kusikilizwa

Kesi ya Mbowe dhidi ya IGP, DPP na Mwanasheria Mkuu wa Serikali yaanza kusikilizwa

Ndio maana hata watu wa exchange rate wanatubinya sana pumbu, hebu vuta picha:
US$1=TSH. 2318
US$1=KSH 109
US$1= 815 Malawi Kwacha
US$1=11Botswana Pula
Matokeo yake tunapata tabu sana kununua bidhaa toka mataifa yanayotaka malipo katika US dollar.
CCM wwmeharibu sana nchi hii na ninakubaliana nawe kuwa siku wakitoka misaada itakuwa mingi ila pia thamani ya shilingi yetu itapanda dhidi ya dola ya Marekani
 
Ndio maana hata watu wa exchange rate wanatubinya sana pumbu, hebu vuta picha:
US$1=TSH. 2318
US$1=KSH 109
US$1= 815 Malawi Kwacha
US$1=11Botswana Pula
Matokeo yake tunapata tabu sana kununua bidhaa toka mataifa yanayotaka malipo katika US dollar.
CCM wwmeharibu sana nchi hii na ninakubaliana nawe kuwa siku wakitoka misaada itakuwa mingi ila pia thamani ya shilingi yetu itapanda dhidi ya dola ya Marekani

kwahio misaada ikipanda ndo tsh itapanda?
 
Kesi aliyoifungua Freeman Mbowe Mahakama kuu dhidi ya IGP , DPP na AG ya kupinga namna alivyokamatwa Mwanza na kupewa kesi ya uongo ya Ugaidi , imeendelea leo Mahakama Kuu na kuvuta lundo na wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa , ama labda kuliko kesi yoyote ya namna hii iliyowahi kusikilizwa barani Africa

Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi anapaswa kufikiria upya .

View attachment 1916588View attachment 1916590View attachment 1916587View attachment 1916586

Mungu ibariki Chadema

kwahio wakijaa wanafanya nn kwenye kesi ya gaidi?
 
Safi sana Mabalozi.

This is an indication that the world is against CCM.

Tuone sasa watawafanya nini.

Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.

CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
We bila shaka Mgogo.

Maana akili yako imejikita kuomba omba misaada.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 

Hivi katika historia ya kesi za kisiasa kama hii ya Mbowe kwa hapa Tanzania tangu Uhuru hadi sasa, imeshawahi kutokea mabalozi wa nchi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao kuhudhuria mahakamani ili futuatilia kesi hiyo..?
 
Safi sana Mabalozi.

This is an indication that the world is against CCM.

Tuone sasa watawafanya nini.

Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.

CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Waasisi wa machafuko mengi sana duniani wamekata hapo

tuendelee kujipakatisha tu
 
Safi sana Mabalozi.

This is an indication that the world is against CCM.

Tuone sasa watawafanya nini.

Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.

CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Unategemea CCM watoke madarakaini ili upewe misaada are mad!?
 
HATA WAKIENDA HAWANA LA KUIFANYA MAHAKAMA ITAKAVYOAMUA
Wewe ukishiba maharage, punguza gesi! Lakini suala hili la kesi ya Mbowe kidiplomacy, linaiumiza serikali sawa na kidonda cha ulimi.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
CCM hawana nguvu kama wanavyofikiria, huwezi kutawala kwa kuiba kura na kubambikia watu kesi kila siku, dawa ipo tayari
 
Acha kudemka wewe na kuandika upumbavu. Gaidi hawezi kutoa kauli kama hizi.
HUU NDIYO MWISHO WA UGAIDI WAKE WATALIAAAAA WATANYAMAZA MAISHA YANAENDELEA WACHA ALE JEURI YAKE GAIDI MKUWA HUYO
 
Back
Top Bottom