MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Ndio maana hata watu wa exchange rate wanatubinya sana pumbu, hebu vuta picha:
US$1=TSH. 2318
US$1=KSH 109
US$1= 815 Malawi Kwacha
US$1=11Botswana Pula
Matokeo yake tunapata tabu sana kununua bidhaa toka mataifa yanayotaka malipo katika US dollar.
CCM wwmeharibu sana nchi hii na ninakubaliana nawe kuwa siku wakitoka misaada itakuwa mingi ila pia thamani ya shilingi yetu itapanda dhidi ya dola ya Marekani
US$1=TSH. 2318
US$1=KSH 109
US$1= 815 Malawi Kwacha
US$1=11Botswana Pula
Matokeo yake tunapata tabu sana kununua bidhaa toka mataifa yanayotaka malipo katika US dollar.
CCM wwmeharibu sana nchi hii na ninakubaliana nawe kuwa siku wakitoka misaada itakuwa mingi ila pia thamani ya shilingi yetu itapanda dhidi ya dola ya Marekani