Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha. Gaidi mmoja kawafungulia Kesi magaidi wakuu 1000.Kesi aliyoifungua Freeman Mbowe Mahakama kuu dhidi ya IGP , DPP na AG ya kupinga namna alivyokamatwa Mwanza na kupewa kesi ya uongo ya Ugaidi , imeendelea leo Mahakama Kuu na kuvuta lundo na wawakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa , ama labda kuliko kesi yoyote ya namna hii iliyowahi kusikilizwa barani Africa
View attachment 1916588View attachment 1916590View attachment 1916587View attachment 1916586
Sawa ni upuuzi RwandanUpuuzi mtupu
ok noted! Thanks!Hii siyo kesi ya Ugaidi , ni kesi aliyoifungua Mbowe akipinga aliyotendewa na serikali , ile nyingine ya serikali ikitajwa tutakuambia
Mbowe sio Gaidi! Gaid ni yule ndugu yenu mlomuua majuzi pale Salander Bridge!Kumekucha. Gaidi mmoja kawafungulia Kesi magaidi wakuu 1000.
Hapa kuna kesi mbili tofauti.Asante kwa taarifa , Barikiwa mdau wangu wa ukweli! Lakini hapo kwenye heading ya thread, nafikiri uandishi sahihi ni KESI YA SERIKALI DHIDI YA MBOWE NA SIO KESI YA MBOWE DHID YA SERIKALI. Hii ni kutokana na ukweli kuwa ni Serikali ndo imemfungulia mbowe kesi na sio Mbowe aliyeifungulia serikali kesi!
Wamekuletea kila kitu mpaka pedi ZA mkeo au zakoYAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU
Sawa Boya,wewe sindeye hakimu,he unajua maana ya uwakilishi,vipi kama wamewakilisha jumuia za kimataifa,Mfamo Eu,scandinavia,amerika.umeshatafakari uwezekano huo,he vipi kama picha nyingine hujabahatika kuziona.YAANI UCHIZI UMEWAZIDI CHADEMA YAANI HAO WAZUNGU WATATU TU NDIYO UNASEMA WAMEFIKA KWA WINGI? MMEISHIWA POZI MNATEGEMEA WAZUNGU GAIDI LAZIMA ALE MVUA TU
sahihiSafi sana Mabalozi.
This is an indication that the world is against CCM.
Tuone sasa watawafanya nini.
Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.
CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
ccm ina bomoa nchi
CCM ni genge la watu wachache ambalo linaikalia Tanzania ki mabavu.Safi sana Mabalozi.
This is an indication that the world is against CCM.
Tuone sasa watawafanya nini.
Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.
CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Lile Bit la Mulamula kimeishia wapi?? Huwezi kunye mkono unaokulishaNCHII HAIWEZI KUENDESHWA KWA KUWATEGEMEA MABALOZI
Safi sana Mabalozi.
This is an indication that the world is against CCM.
Tuone sasa watawafanya nini.
Niwaambie tu, siku CCM ikitoka madarakani, misaada kutoka kwa Nchi Wahisani inaweza kuongezeka kwa asilimia 50 mpaka 100, na hata baadhi ya madeni tunaweza kusamehewa kabisa.
CCM wanaharibu sana hii nchi, na wanaligharimu sana Taifa hili na watu wake kwa kukosa busara,maarifa na hekima za kuongoza hii nchi.
Utuuite weledi, na uzalendo wa kitanzaniaKule wanajisifu kurudisha mahusiano na wazungu huku wanabomoa, hakika nimeamini problems can not be solved by same level of thinking which created them.