Kesi ya Mbowe imetuachia kumbukumbu isiyofutika, kwamba Serikali ilithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu, ushahidi ulitosha!

Kesi ya Mbowe imetuachia kumbukumbu isiyofutika, kwamba Serikali ilithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu, ushahidi ulitosha!

Kama ana hatia kwanini asingehukumiwa? Kuna haja gani ya kusikiliza utetezi? Kumbuka katika kuamua kama mtuhumiwa ana kesi ya kujibu au la.....haiangaliwi uzito wa ushahidi uliotetwa...ila, viashilia vya kosa kufanyika
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
 
Naweza kukuelimisha hadi uelewe. Ila nitatumia nguvu kubwa sana
Kimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.

Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.

Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
 
Kama ana hatia kwanini asingehukumiwa? Kuna haja gani ya kusikiliza utetezi? Kumbuka katika kuamua kama mtuhumiwa ana kesi ya kujibu au la.....haiangaliwi uzito wa ushahidi uliotetwa...ila, viashilia vya kosa kufanyika
Yawezekana alikuwa na ushahidi mzito wa kuthibitisha hana hatia ya mashtaka dhidi yake. Kwa hukumu kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu, nabaki najiuliza je, walihusika kuandaa ugaidi? Lakini, kitendo cha Serikali kuondoa mashtaka wakati hajatoa utetezi wake ni "bao la mkono".
 
Kimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.

Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.

Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
douh kweli wewe hamnazo
 
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Hukumu hutolewa baada ya utetezi na jaji kupima hoja za pande zote mbili. .. Usipotoshe kwa makusudi
 
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Mataga bado mnakomaa hamuamini kama mmepasuka tayari
 
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Kuonekana na kesi ya Kujibu sio kutiwa hatiani
Ficha Upumbavu wako
 
Serikali Ina uamuzi (ruling) kwamba jamaa Wana kesi ya kujibu, Mbowe hana uamuzi unaosema hana kesi ya kujibu, kisiasa inatosha kumchapa nayo

Inasikitisha sana mtu sio mwana sheria kuongelea mambo ya kisheria!
Just zip it up hujui lolote!
Mbowe hana rekodi yyt inayo onyesha alitiwa hatiani,kukutwa na kesi ya kujibu sio kutiwa hatiani,wengi sana walikutwa wana kesi ya kujibu wakashinda kesi zap baada ya kujitetea!
Mbowe hana hatia,DPP kafuta kesi
 
Rais anaomba kukutana na Gaidi Ikulu🐒🐒🐒
022030WA0001.jpg
AgirfQ.jpg
 
Walipaswa kuweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi", kama walivyokuwa wanafanya wakati kesi ikiendelea. Kutokufanya hivyo kunamwacha Mbowe na tuhuma dhidi yake maana tayari ushahidi uliotolewa mahakamani umethibitisha alikuwa na kesi ya kujibu
tuhuma sio kosa, ndo mana dpp anapofuta kesi anazingatia mambo mawili eidha kesi haina ushahidi wakutosha na maslahi mapana kwa taifa, gaidi hawezi kuwa na maslahi kwa taifa ndomana amealikwa ikulu kwa mapatano''unadhani kwa lugha ya matukio nani ameomba msamaha?
 
Inasikitisha sana mtu sio mwana sheria kuongelea mambo ya kisheria!
Just zip it up hujui lolote!
Mbowe hana rekodi yyt inayo onyesha alitiwa hatiani,kukutwa na kesi ya kujibu sio kutiwa hatiani,wengi sana walikutwa wana kesi ya kujibu wakashinda kesi zap baada ya kujitetea!
Mbowe hana hatia,DPP kafuta kesi
Ruling ya Mbowe ana kesi ya kujibu iko mtaani for reference, the rest ni academic arguments, itatumika vyuoni, mahakamani kama precedent, hiyo ruling ya Mbowe hakuwa na kesi ya kujibu iko wapi?
 
Kuonekana na kesi ya Kujibu sio kutiwa hatiani
Ficha Upumbavu wako
Maana yake ushahidi ulitosha, ila maombi ya msamaha kutoka watu mbalimbali yakafanya busara itumike
 
Hukumu hutolewa baada ya utetezi na jaji kupima hoja za pande zote mbili. .. Usipotoshe kwa makusudi
Sawa, ruling ya awali inasema Mbowe ana kesi ya kujibu tuhuma za ugaidi, maana yake ushahidi wa serikali unatosha, Mbowe hana record za kimahakama za kumsafisha kwamba uamuzi wa kumuona ana kesi ya kujibu tuhuma za ugaidi haukuwa sawa
 
Kuwa na kesi ya kujibu ndio hukumu ?
Ulisoma wapi? Kumbukumbu za mahakama katika uamuzi, ni kwamba Mbowe ana kesi ya kujibu, yaani serikali iliwasilisha ushahidi unaotosha kuonyesha Mbowe alijihusha na vitendo vya ugaidi, uamuzi huo upo, unatembea hata mitandaoni, hakuna uamuzi wa kimahakama wa kuthibitisha alikuwa hajihusishi na vitendo hivyo
 
Kimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.

Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.

Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
We kenge kweli, mbowe hajawahi sema yeye ni gaidi na toka kesi inaanza hadi inafutwa alikuwa akikana yeye sio gaidi wa kuthibitisha ugaidi wa mbowe ni ccm waliosema ni gaidi, kitendo cha dpp kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi kinathibitisha mbowe alichoongea ni ukweli
 
Ulisoma wapi? Kumbukumbu za mahakama katika uamuzi, ni kwamba Mbowe ana kesi ya kujibu, yaani serikali iliwasilisha ushahidi unaotosha kuonyesha Mbowe alijihusha na vitendo vya ugaidi, uamuzi huo upo, unatembea hata mitandaoni, hakuna uamuzi wa kimahakama wa kuthibitisha alikuwa hajihusishi na vitendo hivyo
Komaa utaupata uDC
 
Back
Top Bottom