Kesi ya Mbowe imetuachia kumbukumbu isiyofutika, kwamba Serikali ilithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu, ushahidi ulitosha!

Kesi ya Mbowe imetuachia kumbukumbu isiyofutika, kwamba Serikali ilithibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu, ushahidi ulitosha!

Ushahidi ulitosha na mahakama ikaamua Mbowe ana kesi ya kujibu, uamuzi huo upo, haujakatiwa rufaa, Mbowe alifanya vitendo vya ugaidi, kwa nini mawakili wa Mbowe hawakupinga kesi isiondolewe ili ajitetee? Walikubali fasta, walijua mziki ni mzito
Ndugu, hakuna haja ya kutumia muda mwingi kupayuka saana juu ya hili.
Kama kweli wewe waamini hivyo, basi yafaa utumie busara na hekima zako kama mwananachi mTanzania wa kweli, kwa kutumia haki zako kwa mujibu wa katiba/sheria za nchi ili kulifikisha kwenye mwisho unaoutamani.
Hivyo basi kajipange na wenzio mwende na ushahidi na nyenzo zote za kisheria mlizonazo mfungue kesi YENU mahakamani. AMEN.
 
Ndugu, hakuna haja ya kutumia muda mwingi kupayuka saana juu ya hili.
Kama kweli wewe waamini hivyo, basi yafaa utumie busara na hekima zako kama mwananachi mTanzania wa kweli, kwa kutumia haki zako kwa mujibu wa katiba/sheria za nchi ili kulifikisha kwenye mwisho unaoutamani.
Hivyo basi kajipange na wenzio mwende na ushahidi na nyenzo zote za kisheria mlizonazo mfungue kesi YENU mahakamani. AMEN.
Umechanganyikiwa
 
Tumewajua waliokuwa wanaitwa wasiojilika waliouwa ndugu zetu

Kundi la wasiojulikana
1646473349068.jpg
JamiiForums-696830887.jpg
 
Ana kesi ya kujibu, ushahidi ulikuwa mwingi sana, ruling ipo
Basi punguza makelele, halafu enenda ukautumie huo ushahidi wa kupika, ukafungulie kesi yenu mnayoitaka, mpate matokeo mnayoyataka, vile mnavyotaka, mkiongozwa na hiyo 'ruling'.
 
Jifunze acha ubishi. Sio kazi ya mtuhumiwa kuthibitisha hana hatia, ni kazi ya anayeshitaki kudhibitisha na mahakama kuamua.

Ni wapi mahakama imeamua kuwa ana hatia? Je kapewa adhabu gani?
Kwa makusudi hutaki kunielewa ila umenielewa kwa jinsi ulivyotaka.

Mahakama, kutokana ma ushahidi uliotolewa, Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Kwa kuwa hawakupata nafasi ya kujitetea, bado wataishi na hiyo tuhuma katika jamii
 
Kwa makusudi hutaki kunielewa ila umenielewa kwa jinsi ulivyotaka.

Mahakama, kutokana ma ushahidi uliotolewa, Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu. Kwa kuwa hawakupata nafasi ya kujitetea, bado wataishi na hiyo tuhuma katika jamii
Sasa umeongea vizuri, "wataishi na tuhuma" sio hatia. Ndio nilichosema wakati wote, hawana hatia. Hata kesho kwenye fomu wakiulizwa kama wamewahi kukutwa na hatia watajibu hapana.

Kuna watu wengi tu wamewahi kukutwa na kesi ya kujibu na wakashinda kesi. Maoni ya watu hayo tuwaachie watu, ila legally usiseme wana hatia.
 
Sasa umeongea vizuri, "wataishi na tuhuma" sio hatia. Ndio nilichosema wakati wote, hawana hatia. Hata kesho kwenye fomu wakiulizwa kama wamewahi kukutwa na hatia watajibu hapana.

Kuna watu wengi tu wamewahi kukutwa na kesi ya kujibu na wakashinda kesi. Maoni ya watu hayo tuwaachie watu, ila legally usiseme wana hatia.
hao jamaa wako na vichwa vigumu sana pengine ni kwasababu ya kula Bulga
 
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Mahakama siyo Malaika. Kwamba haikosei. Busara ndio muhimu.
 
Dwgree
Serikali Ina uamuzi (ruling) kwamba jamaa Wana kesi ya kujibu, Mbowe hana uamuzi unaosema hana kesi ya kujibu, kisiasa inatosha kumchapa nayo
Hiyo "degree" yako ya sheria uliipata chuo gani?
 
Kwa hiyo unataka kusema hakuna ruling inayosema Mbowe ana kesi ya kujibu?
Kwa mujibu ya hiyo "degree" yako hiyo ruling ilimkuta Mbowe na hatia ili hoja yako ya ruling hiyo kutumiwa dhidi yake iwe na mashiko? Inakupasa urudi darasani kabisa.
 
Walipaswa kuweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi", kama walivyokuwa wanafanya wakati kesi ikiendelea. Kutokufanya hivyo kunamwacha Mbowe na tuhuma dhidi yake maana tayari ushahidi uliotolewa mahakamani umethibitisha alikuwa na kesi ya kujibu
Ulishawai kuona wapi huo ujinga unaousema hapa.Mwenye kesi alikua Dpp na kaamua kuifuta sasa wewe unaleta ujinga gani hapa.Kwamba amwambie aliyemshtaki kwamba sitaki endelea kunisthaki.Au sijakuelewa.Maana hakuna hiyo kitu duniani.
 
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.

Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Hii yote kwa kifupi inaitwa institutionalisation of impunity!
 
Kwa mujibu ya hiyo "degree" yako hiyo ruling ilimkuta Mbowe na hatia ili hoja yako ya ruling hiyo kutumiwa dhidi yake iwe na mashiko? Inakupasa urudi darasani kabisa.
Usitumie kichwa Kubebea meno na nywele, nakuuliza tena,hakuna ruling inayosema Mbowe ana kesi ya kujibu? Na ili mtu awe na kesi ya kujibu ni kwamba mahakama imejiridhisha kwamba Kuna ushahidi unaokidhi vigezo vya kisheria, hivyo mtuhumiwa anatakiwa kujitetea.

Hiyo ruling ipo. Na itadumu mitandaoni.

Mnasoma vyuo vya vichakani huko mnakuja kusumbua watu field
 
Sijawahi kuona.... mtu anashindwa kuelewa kabisa. Safari ya Dar Arusha, hata ukiishia Moshi huwezi kusema nilifika. Kama ni maoni ya watu, kila mwenye akili timamu kaona upumbavu uliopelekwa mahakamani.
kabisa kesi iliwashinda mahakamani mashahidi wakagongana gongana ushahid ukashindwa kuungana Ilitosha kabisa kuacha kuendelea na kesi
 
It looks like I am arguing with a fool. Ruling ya case to answer inamfanya mtuhumiwa awe na hatia? Kwenye hiyo case tangu ilipoanza kuna ruling ngapi labda?
Usitumie kichwa Kubebea meno na nywele, nakuuliza tena,hakuna ruling inayosema Mbowe ana kesi ya kujibu? Na ili mtu awe na kesi ya kujibu ni kwamba mahakama imejiridhisha kwamba Kuna ushahidi unaokidhi vigezo vya kisheria, hivyo mtuhumiwa anatakiwa kujitetea.

Hiyo ruling ipo. Na itadumu mitandaoni.

Mnasoma vyuo vya vichakani huko mnakuja kusumbua watu field
 
It looks like I am arguing with a fool. Ruling ya case to answer inamfanya mtuhumiwa awe na hatia? Kwenye hiyo case tangu ilipoanza kuna ruling ngapi labda?
Acha umburura, nani kaongelea hatia? Shuleni ulienda kusomea ujinga?
 
Back
Top Bottom