Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Hakuna Serikali yeyote duniani inayoweza kumuachia gaidi azurure hovyo mtaani.
Kitendo cha kuachia kesi na kutokuwa na nia ya kuendelea nayo ni ushahidi tosha kwamba Serikali haioni merit yoyote zaidi ya kupotezeana resources (in short, hakuna kesi)
Hii ni sawa na wale mashekhe wa Uamsho mama aliowaachia mara tu baada ya kuukwa Urais. Tena kwa wale ushahidi wa uchochezi ulikuwepo wazi kabisa na unapatikana free kabisa huko Youtube.
Kitendo cha kuachia kesi na kutokuwa na nia ya kuendelea nayo ni ushahidi tosha kwamba Serikali haioni merit yoyote zaidi ya kupotezeana resources (in short, hakuna kesi)
Hii ni sawa na wale mashekhe wa Uamsho mama aliowaachia mara tu baada ya kuukwa Urais. Tena kwa wale ushahidi wa uchochezi ulikuwepo wazi kabisa na unapatikana free kabisa huko Youtube.