Pasco mayala bado anamalizia mitihani law school(nasikia alichemka) , haya mambo hawezi kuyaelewa, sawa na weweNakumbuka kuna siku ulimkorofisha Pascal Mayalla kiasi cha kukuita jina fulani hivi linalo fanana na hili jina lako chinembe. Sasa naona ni kwa namna gani alikuwa sahihi.
Case to answer ni ruling inayothibitisha kwamba waendesha mashtaka walikuwa na ushahidi mzito unaotosha kumtaka mtuhumiwa ajitete, ni ushuhuda kwamba alitenda ugaidi, na kama hajatenda, basi aje na ushahidi, hukuona kina kibatala walivyoshangilia kesi kuishia njiani? Walijua mziki ni mzito.Tubu ndugu yangu. Inaonekana unapenda Sana ugaidi. Tanzania hakuna ugaidi Kama unataka ugaidi kawaulize West gate Nairobi au Mogadishu Somalia. Kuna baadhi ya Mambo jaribu kuondoa siasa Bali angalia ukweli.
Unapodai ugaidi, ugaidi gani ulifanyika na wapi?. Uwe na reasoning usiwe mtu wa kudakia Mambo. Case to answer ni rulling sio hukumu ya kumtia mtu hatiani.
Mimi nadhani ni sahihi kwa Mbowe binafsi na watuhimiwa wote waliotajwa kuwa na kesi ya kujibu, wakiongozwa na mawakili wao wasomi wafungue kesi ya madai kwa kudhalilishwa na Serikali na walipwe fidia. 😳🤔Mbowe na makomandoo inabidi walipwe fidia kwa usumbufu waliopata!
Taratibu basiKine embe au?
Ndio lakini kuna uwezekano wa kutumia vibaya mamlaka Ili kupindisha sheria kwa maslahi binafsi au shinikizo la kitaasisi.Tatizo liko wapi...DPP ndio mwenye Mamlaka kisheria na ametumia sheria
Mungu mwenyewe anajua mbowe hana Hatia nini hizo takataka zako. Hatimae mwishooooooooooooooooni shetani kaona aibu kachutama. Maana nguo alivuliwa mda mrefuKimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.
Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.
Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
Si mama anajiandaa kumkabidhi nchi? According to sheikh voice. One will lead the country for a short time, a woman will lead after his death, then oppositional party will lead.Kitaalam Hapo Serikali Imerudisha Mpira Kwa Kipa Kizembe Sana
Yaani Ushahidi Inao Halafu Inaacha Haki Isitendeke
Lengo langu si kukuelewesha uelewe.Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Asante, ila nakukumbusha tu, mahakama ilitoa uamuzi(ruling) ,kwamba upande wa serikali(DPP), ulitoa ushahidi unayothibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu. Uamuzi huo upo, haujakatiwa rufaa, hivyo serikali ilifanya kazi makini ya kukusanya ushahidi huo.Lengo langu si kukuelewesha uelewe.
Lakini kesi za siasa zinamalizwa kisiasa.
Kesi ya Mbowe na wenzake ingeachwa iendelee madhara yake yangekuwa makubwa sana (Si unakumbuka mabishano ya kuwatambua mashahidi wa Utetezi?). Tuachie hapo.
Kilichobaki sote tuungane kuijenge Tanzania.
Tujipange kuimarisha haki, utu, usalama, uhuru, utawala bora na demokrasia ili kudhibiti magaidi wa kweli!
InawezekanaNdio lakini kuna uwezekano wa kutumia vibaya mamlaka Ili kupindisha sheria kwa maslahi binafsi au shinikizo la kitaasisi.
Kwani Mbowe ndio kafuta kesi? Si Dpp ndio kaifuta?, Mtaumia sana, ila sisi wanaccm wenye akili tunajua Mama yetu kipenzi chetu, Rais wetu, ana mapenzi mema na nchi yake, full stop.Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Mbowe alikuwa anatuma makundi mengi ya watu wamuombee msamaha kwa mama, mama rahimu akamsameheKwani Mbowe ndio kafuta kesi? Si Dpp ndio kaifuta?, Mtaumia sana, ila sisi wanaccm wenye akili tunajua Mama yetu kipenzi chetu, Rais wetu, ana mapenzi mema na nchi yake, full stop.
Kiufupi DPP kaona hawezi kushinda kesi Kwa ushahidi wa kuungaunga alionao!Jiulize,kwanini aondoe kesi siku ambayo washtakiwa ndio wameanza kujitetea?Kimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.
Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.
Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
Wewe ni dhahiri, una uthibitisho wote ya kuwa na uwendawazimu. Unaona na kusikia yasiyokuwepo, ndiyo sifa kubwa ya mtu mwenye uwendawazimu. Huna ndugu wa kukusaidia kupata matibabu ya afya ya akili?Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Mtafute aliyekuroga kabla hajafaWewe ni dhahiri, una uthibitisho wote ya kuwa na uwendawazimu. Unaona na kusikia yasiyokuwepo, ndiyo sifa kubwa ya mtu mwenye uwendawazimu. Huna ndugu wa kukusaidia kupata matibabu ya afya ya akili?
Kwa mjinga kama wewe, upuuzi uliouandika unaamini kuwa umeweka hoja.Kimsingi Mbowe kalishwa tango pori. Kama hajatambua hilo hastahili kuwa kiongozi wa chama cha Siasa. Hata jopo la mawakili wake ni zigo katika medani ya kisheria. Wanapaswa kuthibitisha, pasipo shaka, kuwa mashtaka dhidi ya mteja wao ni uwongo mtupu. Hivyo tungetegemea wangeweka pingamizi dhidi ya hiyo "nolle prosequi" (mashtaka kuondolewa) ya Serikali.
Hivyo basi, furaha, nderemo, na shangwe zinazoendelea kuhusu Mbowe kuwa huru (mawakili wake na wanachama wa CHADEMA) ni ushahidi kuwa mashtaka dhidi ya Mbowe na wenzake ni ya kweli.
Kwa hoja zangu hizo mshindi ni viongozi wa dini waliomwomba Rais amwondolee Mbowe mashtaka. Wakati Rais, kama M/kiti wa CCM, chama tawala, na Serikali yake amevuna imani ya WaTz, Mbowe bado anawajibika kuthibitisha kuwa hana hatia kwa mashtaka dhidi yake.
Hawa akina Chinembe ni vichaa wanaoichafua CCM, ionekane ni chama kilichojaza watu wengi wasio na akili.Umeongea takataka tupu hapa
Everyone is innocent until proven guilty.
Hakuna kitabu kitakachoandika Mbowe ni gaidi. Wewe jifurahishe tu.
Maana yake ushahidi ulitosha, ila maombi ya msamaha kutoka watu mbalimbali yakafanya busara itumike
Ushahidi ulitosha na mahakama ikaamua Mbowe ana kesi ya kujibu, uamuzi huo upo, haujakatiwa rufaa, Mbowe alifanya vitendo vya ugaidi, kwa nini mawakili wa Mbowe hawakupinga kesi isiondolewe ili ajitetee? Walikubali fasta, walijua mziki ni mzitoBusara na maombi ya msamaha havitumiki mahakamani; sheria pekee ndiyo huamua hukumu.
DPP kaepuka aibu kwa kuiondoa kesi kabla ya utetezi akijua yeye na mahakama wamelazimisha ushahidi hafifu kuwapa watuhumiwa kesi ya kutunga. Utetezi ulikuwa ukielekea kuthibitisha hilo.
DPP akitaka kuirejesha mahakamani itabidi kwanza ajieleze aliiondoaje katika hatua iliyofikiwa. Tuone kama atadai pamoja na ushahidi ule, alisikiliza maombi ya msamaha na kutumia busara!