Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Wewe akili yako ni ndogo sana. Mambo haya yamekuzidi kimo. Wewe ambaye hujui hata tofauti ya precedence na precedent, ndiye wa kujadili mambo haya?Ruling ya Mbowe ana kesi ya kujibu iko mtaani for reference, the rest ni academic arguments, itatumika vyuoni, mahakamani kama precedent, hiyo ruling ya Mbowe hakuwa na kesi ya kujibu iko wapi?
Bado unazungusha mikono? Lowasa tayari karudi, babu Duni kawapiga chiniWewe akili yako ni ndogo sana. Mambo haya yamekuzidi kimo. Wewe ambaye hujui hata tofauti ya precedence na precedent, ndiye wa kujadili mambo haya?
Uwezo wako unaishia kupiga vigelegele viongozi wanapopita au kuhutubia.
Rais anataka walipwe fidia nje ya mahakama.Mimi nadhani ni sahihi kwa Mbowe binafsi na watuhimiwa wote waliotajwa kuwa na kesi ya kujibu, wakiongozwa na mawakili wao wasomi wafungue kesi ya madai kwa kudhalilishwa na Serikali na walipwe fidia. 😳[emoji848]
Matumizi mabaya ya ubongo nimatumizi ya akili kinyume Cha maumbile huna tofauti na anayetumia kiungo kingine kinyume Cha maumbile kamfufueni kayafa Mungu wenu mwl. Aliyewafundisha Chuki na Roho mbaya .mpyuuuuuVitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Msamaha wa Rais ni mkubwa kuliko ushahidi wa uwepo wa kesi ya kujibu. Rais anakwepa mazingira yote ya watu kumlalamikia, ambayo kwa kiasi fulani ni laana zinazodondosha tawala zote maarufu zilizopo duniani.Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
[/QUOTNolle prosque ndiyo hukumu? Nani kakuambia?Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Wewe ni mwendawazimu.Asante, ila nakukumbusha tu, mahakama ilitoa uamuzi(ruling) ,kwamba upande wa serikali(DPP), ulitoa ushahidi unayothibitisha Mbowe ana kesi ya kujibu. Uamuzi huo upo, haujakatiwa rufaa, hivyo serikali ilifanya kazi makini ya kukusanya ushahidi huo.
Hukumu ya kuonyesha Mbowe ana kesi ya kujibu ipo,haijakatiwa rufaa. Hukumu imeridhika Mbowe alijihusisha na ugaidi hivyo ana kesi ya kujibu,mengine mtajijua
Yule Sheikh AliyetanguliaSi mama anajiandaa kumkabidhi nchi? According to sheikh voice. One will lead the country for a short time, a woman will lead after his death, then oppositional party will lead.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Tafsiri ya hili ni kwamba serikali imejivua nguo imeshindwa kuthibitisha hiyo kesi waliosema hao wamba wanayoVitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu
Wewe mwendawazimu, endelea kuhangaika. Wenye akili kubwa, Mbowe na Rais, wanajadili maslahi ya Taifa.Mbowe alikuwa anatuma makundi mengi ya watu wamuombee msamaha kwa mama, mama rahimu akamsamehe
Finally DPP akabaini hakuna kesi licha ya ruling kumkuta ana kesi ya kujibu, usijisahaulishe kuwa la DPP ndipo uzito ulipo.Serikali Ina uamuzi (ruling) kwamba jamaa Wana kesi ya kujibu, Mbowe hana uamuzi unaosema hana kesi ya kujibu, kisiasa inatosha kumchapa nayo
johnthebaptist, huyo chinembe si Lumumba mwenzio huyo. Imekuwaje tena unamdhihakiUnafahamu maana ya " kuweka mpira kwapani"?
Mimi niko makao makuu, wengine ni mabalozi wa nyumba kumikumijohnthebaptist, huyo chinembe si Lumumba mwenzio huyo. Imekuwaje tena unamdhihaki
Raha ya kufurahia vya kuokoteza, jipe mwenyewe. Ushalemazwa na vya kubumba.Umemuona Mbowe ikulu alivyotulia kama mtoto anasubiri zawadi ya pipi
Jifunze acha ubishi. Sio kazi ya mtuhumiwa kuthibitisha hana hatia, ni kazi ya anayeshitaki kudhibitisha na mahakama kuamua.Je, ana uthibitisho gani kuwa hana hatia katika mashtaka dhidi yake?
Ana kesi ya kujibu, ushahidi ulikuwa mwingi sana, ruling ipoJifunze acha ubishi. Sio kazi ya mtuhumiwa kuthibitisha hana hatia, ni kazi ya anayeshitaki kudhibitisha na mahakama kuamua.
Ni wapi mahakama imeamua kuwa ana hatia? Je kapewa adhabu gani?
Hiyo sio ruling.. Hiyo ni procedure tu. Rulling inakuja mwisho wa kesiAna kesi ya kujibu, ushahidi ulikuwa mwingi sana, ruling ipo
Kweli wewe ni kine.mbe. Kwahiyo kwa akili yako Mbowe ndio ameiondoa kesi mahakamani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitabu vya sheria vimebaki na kumbukumbu moja, serikali ilithibitisha ugaidi wa Mbowe, akaonekana ana kesi ya kujibu, hivyo kutakiwa ajitetee.
Mbowe hana hukumu ya kurejea kumsafisha!! Serikali Ina hukumu ya kuonyesha ilithibitisha Mbowe gaidi na ana kesi ya kujibu