Kesi ya Mbowe: Kibatala na Mallya wameiondolea Mahakama uwezo wa kumfunga Mbowe hata ikishinikizwa


Akili yako iko sawa na ya mleta mada 😁😁
 
Kama hivyo vinakujua ni wewe... takataka 🚮🚮🚮 hamna kitu yoyote. Kama wewe unaabudu takataka ni wewe.
 
Kwa ushahidi huu waking’ang’ania kumfunga basi kunaweza kutokea fujo kubwa sehemu nyingi nchini siku ya hukumu na kuendelea mbele.

Nakubaliana na wewe kuwa watakuwa wamemuonea wakimfunga Mh.Mbowe,lakini swala la kutokea fujo sehemu nyingi hapa Nchini hilo sahau na wala haliwezi tokea kamwe.Wabongo wanahangaika na ugumu wa maisha na pengine 80% wala hawajui hata kinachoendelea Mahakamani.
 
Hujui na hufuatilii kinachondelea mahakamani, je neno terrorist na terrorism yalianzia hapo mahakamani au kwenye ripoti ya polisi. Kama ni kwenye ripoti. Je yalitakiwa yawepo au, kumbuka umesema ripoti ilikuwa ya kiswahili, lengo la mawakili ni kulinganisha kama Shahidi ndiye aliandika ripoti hiyo kutokana na maelezo ya mdomo
 
Juzi nilikuwa kule Maria Space jamaa alikuwa anaongea toka kijiji kimoja kule mpanda alielezea jinsi watu kule wanavyofuatilia kwa kuu karibu mno kesi ya Mbowe na wenzie. Je ni vijiji vingapi kama hicho cha mpanda ambacho Watanzania wanafuatilia kesi hiyo kwa karibu kila siku? Na katika bandiko langu nilibold neno moja muhimu sana.
 
Nitajie kesi gani ya jinai ambayo Kibatala amesimamia ameshindwa?
 

Mkuu unasomeka vyema bila shaka sawia zaidi na Jaji Siami. Hata hivyo:

1. Tofautisha typographical errors na curable errors za IGP ajaye bwana Kingai.
2. Tofautisha shauri ndani ya shauri na shauri la msingi.
3. Tambua kuwa inawezekana zikawepo trials within trial zaidi kesi inapoendelea.
4. Kila utetezi watakapokataa maelezo ya mshitakiwa kuwa ushahidi, trial within trial itakuja na PGO zitasikika tena.
5. Kumbuka washtakiwa hawakuandika maelezo wenyewe bali walisaini maelezo yaliyoandikwa.
6. Tofautisha kuandika na kusaini yaliyoandikwa.
7. Kwamba utetezi walitaka kushindwa kesi? Si kuwa hukumu kwenye jamhuri ya wadanganyika ni maoni ya mtu mmoja bila ya kumsahau uelekeo wa ule mhimili mwingine?

Kesi ya Mbowe: Ushahidi upande wa Mashtaka unapochukuliwa kuwa ndiyo Dhahiri

8. Ndiyo maana huu:



Ni msimamo murua kabisa.

9. Malya au Kibatala hawana hatima ya kesi kama ilivyo hapa chini:

 

Labda ungesema 80% wameminywa na serikali kwa nguvu zote wasijue kinachoendelea mahakamani?
 
Umeandika mengi ambayo hayana uhusiano na kinachoendelea mahakamani, Jf great thinkers wanafuatilia kesi kwa undani na kujibu hoja kutokana na jinsi mashahidi wanavyotoa ushahidi, yaani mwenendo wa kesi
 
Kesi kama hizi ambazo ni serious ,tulitegemea na jamhuri wangeandaa evidence za uhakika ,sasa kama evidence za kisayansi hamna tutaaminije kuwa hapa hakuna kubambikiana kesi .

Hamna Fingerprint, hamna DNA halafu useme hii silaha ilikuwa ya fulani na wanadai hii kesi ni Ugaidi

Kuna sehemu hii nchi inajikoroga ,kuna siku kitawaka
 
Moja wa Jf greater thinker ni wewe. Umeandika kutokana na jinsi unavyofuatlia mwenendo wa kesi kwa jinsi mashahidi wanavyotoa ushahidi, Great thinkers wote ahsanteni na tuendelee kufanya Jf iwe sehemu ya majadiliano ya kina na yenye kujenga
 
Sheria sio sehemu za siri ukitaka kuziona mpaka uvue nguo.
 
Kumbe unajua Mbowe hana hatia, ukimaanisha jamhuri wanamuweka gerezani Mbowe kwa mapenzi yao, sasa hao "wanasheria nguli" unaowataka watasaidia kitu gani?
 
Sisi Wahaya tuna msemo usemao, "Ekyawe kijunda n 'okara"!
 
Wewe siyo JF greater thinker, unawezaje kusema wabongo hawafuatlii kinachoendelea mahakamani bila hoja wala utafiti ila kwa mawazo yako, je kufuatilia mahakamani ni mpaka ufike mahakamani, je Habari na mwenendo wa kesi unatangazwa au umesusiwa,
 
Wewe unaejua sheria funguka[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kama uliwahi kuwa prosecutor basi ulikuwa wa Mahakama ya kangaroo. Ukisoma maelezo ya mleta mada Hakuna popote anapoongelea terrorism kuwa utalii kama alivyojinasibu Shahidi wenu. Anachoongea mleta mada ni MAKOSA yaliyopo katika Documents wanazoleta mahakamani ambazo Kila wakiulizwa Kwa nini je umekosea, wanakiri zina MAKOSA, wakiulizwa Kwa nini wanasema hiyo ni "CURABLE".

Hapa ndipo anaposimamia mleta mada na siyo vichekesho unavyodhani Mwanasheria Makini anavijali. Hayo ya UTALII Yana faida kuionesha Mahakama jinsi Shahidi asivyopswa kuaminika. Kwenye kesi yoyote kama kweli wewe ulikuwa Prosecutor kesi inajengwa kama nyumba ukiamzia na msingi. Na siku hizi MPELELEZI (R) MPELELEZI ndiye picha ya kesi. Kingai ndiye picha ya kesi hii huku amejaa "Curable mistakes".

Polisi walipokuwa waendesha mashtaka walikuwa wakiforce vitu kwenda na ndicho unavhojaribu kufanya hapa, wao walikamata, wakapeleleza, wakashitaki na Kwa baadhi ya matukio wakalazikisha hukumu. Hii si kesi ya kitoto, ni kesi kubwa ambayo Kwa ujinga wa Polisi Kingai na Cpl Hafidh eti wanasema ni kesi ya kawaida. Kwa ukubwa wake haikutakiwa kuandaliwa kizembe hivyo labda kama dhumuni ni kuleta utani mahakamani Hata kama wakishindwa waseme "We were not serious to that extent".
 
Nazani atakuelewa!!!!
 
Unateseka ukiwa wapi?

Taja hao wanasheria ghuli tuwajue

Shaidi: Nilipanda basi la kimanjaro linatoka singida nikashukia Arusha


Baada ya mwana ccm kaaya kutoa ushahidi kuhusisha basi la Kilimanjaro

Mmiliki wa base la Kilimanjaro nae kaanza kugombana na dereva wake ni kwanin walibalidilisha rout ya Dar to Arusha na kuipeleka Singida to Arusha bila ruhusa yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…