Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
-
- #21
Hakuna mtu anaeamini kuwa hii kesi ina uhalali, hivyo wengi watasifu na kupongeza uamuzi huo na labda kusikitika/kulaumu kuwa uamuzi huu umechelewa.Wakijitoa sasa hivi MATAGA watasema mawakili wa mboe wameona wamezidiwa na hivyo kuamua kujitoa,kwa hali ilivyo bora wapambane kupAngua ushaidi mpaka mwisho ili wote tuone vioja vinavyoendelea huko mahakamani
Wakijitoa sasa hivi MATAGA watasema mawakili wa mboe wameona wamezidiwa na hivyo kuamua kujitoa,kwa hali ilivyo bora wapambane kupAngua ushaidi mpaka mwisho ili wote tuone vioja vinavyoendelea huko mahakamani
Hoja zako, na hao ulio wananukuu, ni jaribio la kuitisha mahakama
Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.
Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?
Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?
Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?
Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.
Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?
Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.
Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
coward!!Ndio lengo lenu la ku-provoke wana-CHADEMA? Katika hili, mmefeli tena vibaya sana.
Hizi pumba unazipepeta ukiwa choo gani?Serikali siyo wajinga kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi. Mbowe mwenyewe anajuwa namna alivyolikoroga.
Muulizeni kati ya Desemba 2020 na March 2021 mpaka tunamzika DIKTETA Magufuli alikuwa wapi? Muulizeni ni kitu gani aliomba kwenye ubalozi wa Denmark na alijibiwa nini?
Nendeni na ubalozi wa Canada mkaone status ya papers zake kwa alichokiomba. Mmasingizia alikuwa kwenye biashara zake Dubai, ana biashara gani Dubai?
Kwa nini Serikali ihangaike kumtengeneza Mbowe mashtaka ya kubumba? Ni nguvu gani aliyonayo?
Mbowe alitaka kuweka nchi kwenye status of instability immediately baada ya uchaguzi kukamilika. Serikali ilipogundua njama ndipo akalazimika kukimbia.
Nani kasikia masekondari ya shule za Kisslami yanachomwa tena baada ya Mbowe kuwa mikono salama pale Ukonga?
Na kwa kiasi kikubwa amshukuru Samia ambaye ameacha Mahakama itende haki kwani ingekuwa hajawahi kukimbia nchi wakati wa Mwendazake, saa hizi Mbowe angekuwa na msaidizi wake Ben Saanane huko kuzimu.
Nashangaa Wana CDM mnamtukana Rais SSH eti DIKTETA mwanamke wakati ameacha uhuru wa habari na utawala wa sheria uendelee.
Hata Yesu alihukumiwa kusulubiwa kwa hila za wanadamu.coward!!
anafungwa huyo
Naunga mkono hojaKwa mara ya kwanza naungana na Lema kwenye hili...
Rais alishatoa hukumu tusitegemee kuna judge atatoa hukumu na kinyume chake...
Case hii ilikwisha kabisa pale kwenye maamuzi ya hukumu ndogo kukubali maelezo ya wale wanajeshi wastaafu... pale ndipo palimaliza case hiii haya ya muendelezo yatakuwa na mchango mdogo sana na ukweli ni kwamba lengo ni kumfunga Mbowe na watafanya hivyo kwa njia yeyote ile.....
Kila mtu anajua fika Mbowe sio gaidi na awezi tenda vitendo hivyo..... bora kweli waondoe hao mawakili wafanye watakalo.... akiingia mahakamani ake kimya tuuu waamue wao
Hii case Rais alishatoa hukumu na kamwe judge awezi muumbuwa boss wake... kibaya zaidi case inaendelea Rais anampandisha cheo msimamizi wa case ambaye anakwenda kuwa mkubwa zaidi na mteuzi wa wasimamizi wa case(majudge).
Mimi binafsi niliacha kufatilia hii case baada ya hukumu ya case ndogo.
Hakuna mtu anaeamini kuwa hii kesi ina uhalali, hivyo wengi watasifu na kupongeza uamuzi huo na labda kusikitika/kulaumu kuwa uamuzi huu umechelewa.
Mkuu kwenye shauri hili Chief Hangaya alishamaliza. Rejea mahojiano yake na Mwandishi wa BBC. Bila kusahau upandishwaji wa cheo Kwa Jaji Siyani. Nini kilifanyika kwenye hukumu ya kesi ndogo? Huo ni ushahidi tosha.Wenye nguvu ya maamuzi kesi ya mbowe ni familia na sio chama acheni kujidanganya mitandaoni. Chama kiliisusa kesi,familia wakaingilia kati
Yeye lema katolea mfano uamuzi wa mkewe. Hivyo ujumbe wake ungemlenga mke wa mbowe au mchepuko mkuya(kama ana nguvu za kifamilia)