Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi ACP Ramadhani Kingai afunguka upande wa Jamhuri

Unatia aibu forum hii,
Andika kabla hujalewa
 
Itabidi aseme vizuri kuhusiana na madawa haya
 
Yote hayo ni adhabu kutoka kwa Mungu kutokana na alichomfanyia mkewe wa ndoa,mkewe wa ujanani. Mwambieni Atubu.
 
Cooking case. Fake maelezo yaani utoke Moshi uje uitwe Dar? Nchi inaenda kuaibika kwa ujinga wa hawa vilaza polisi. Wanaliingiza jeshi kwenye ujinga wa siasa.
Hii kazi ni ngumu sana waachie wenye ujuzi wao waendelee na kawaida.
 
Baba mkwe wangu alishafariki. Na sikuwahi hata kumtamani kipindi akiwa hai. Mungu akusamehe.
 
Mwambieni Mbowe aombe msamaha kwa mke wake. Miaka yote anamcheat mkewe na wanawake wa viti maalum mpaka kuzaa nao. Mungu hafurahi. Ndo maana anapatwa na haya. Walau Lilian ana uhakika mmewe alipo (Jela).Mbowe hapa hachomoki.
Wewe alishakuinamisha na kukushikisha ukuta mala ngapi?
 
Nilikuwa nikiyaheshimu mabandiko yako humu JF lkn Kwa sasa nimekuelewa kumbe nawe hamnazo! Kesi iko Mahakanani sio ustawi wa jamii.
Huwezi nielewa. Muombe Mungu akupe macho ya ndani. Kiukweli kesi ya Mbowe haina kichwa wala miguu. Ndo maana mimi nasema Atubu na amrudie Muumba wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…