Aibu kubwa mno tunapata mpaka kwa wafadhili ambao daily wanatuma wawakilishi waohawa askari walikuwa wanatunga hadithi ambayo ilikosa uhariri......project ya hovyo kabisa....kibaya sana WANACHEZEA FEDHA ZA WANANCHI WAZI WAZI.....TUNAKATWA MITOZO wanachezea fedha kulipana lipana kwenye kesi ya maigizo
Kama laki hiviHv gari aina ya ict ukijaza mle maburungutu ya shilingi elfu 10 zinaweza kufikia sh ngapi
Sahihi kabisa mkuu
Hahaha[emoji23]Saa tano na robo tayari Mheshimiwa jaji mbona haurudi, tafadhali usijitoe
Wengine tunajiheshimu. Usitukasirishe. Kama unakereka kufuatikia achaWamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana
Mkuu hii wamefanya makusudi ama wameteleza?Committal Proceedings hawakuonyesha maelezo ambayo atakuja kufafanua mahakamani na
Yule sio kwamba alimaliza? Wa jana alitakiwa awe mpya.Khaaa! Ina maana wakili wa tigo ndio kaumwa mazima haji kuendelea kutoa ushahidi?
Maana naona kuna mtu mpya hapa
Hadi kesi hii inaisha inabidi tupewe tu vyeti vyetu.Sisi tunaosoma sheria kupitia hii kesi tutambuane.
Yule ushahidi wake ulikua unaendelea kuhojiwa na kilichopelekea mjadala kusitishwa ni mudaYule sio kwamba alimaliza? Wa jana alitakiwa awe mpya.
Mkuu si uajua tena mambo ya kesi za kubumba lazima wajichanganye.Mkuu hii wamefanya makusudi ama wameteleza?
Sisi tunaosoma sheria kupitia hii kesi tutambuane.
[emoji1][emoji16][emoji38][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji23]Kama laki hivi
Yaani. Halafu hii shule tamu maana pindi likiahirishwa tuna chukia. Kama jana nilichukia sana kuahirishwa kwa kipindi.Hadi kesi hii inaisha inabidi tupewe tu vyeti vyetu.
Sawa mkuu.Yule ushahidi wake ulikua unaendelea kuhojiwa na kilichopelekea mjadala kusitishwa ni muda
Ofisi ya Taifa ya Mashtaka inayoendesha mashtaka yote ya jinai mahakamani source : Habari |Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali
Kwahiyo mbowe amekudhuru niniWamfunge tu mbona ushahidi wa jamhuru umeenyooka hivyo. Kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga naa gundi. Kama hii kesi ni ya uwongo niamini kesi ya namna gani. Technologia aidanganyi bhana
Mnasumbua tu mahakana
TAJIRI JIWE kwanini inakuuma. Nyie ndo watu wakiondoka kwenye system nanyinyi kwishinee. Acha kuwa ......Kwahiyo mbowe amekudhuru nini
Ni kweli kabisa ujue..[emoji23][emoji1][emoji16][emoji38][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji23]