Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
π€£π€£Sawa chawa wa CHADEMA na wa mh.Mbowe....kongole kwako nawe kwa kuunga mkono kila msimamo na juhudi za upande huo....Chawa ni sifa siyo tusi mkuu. Ni katika kutambua tu jitihada zako za kuunga mkono yote ya mama and unconditionally. Zikiwamo hizi:
View attachment 1996640
Hata kama ni kwa kurambwa bakora kila asubuhi ikibidi ππ.
Au nasema uongo ndugu yangu?
Kipara ame dent reputation ya Tigo kwa kweli.Habari ndio hiyo , inasemekana hawakujua hata kama anaenda kutoa ushahidi ! na wao wamesoma JF
Nachelea sana kuingiza "hisia" na "View attachment 1996637ushabiki koko" kwa kinachoendelea mahakamani....π€£
Alloo sitaki kuamin hili mkuu.thia will be a great insult...Habari ndio hiyo , inasemekana hawakujua hata kama anaenda kutoa ushahidi ! na wao wamesoma JF
Jiwe kafa kawachia Ma- CCM urithi wa uongo kama wa Jiwe.Jiwe alisemaga aliwahi kuongea na Kigoda akiwa ICU.Hakika yule jamaa kwa uongo hakuna wa kumfikia.
Ukichukua hii laki 5 ukaongeza hela ya nguo 150,000, nauli na matumizi hii hesabu inabaki laki 6 au hesabu alipiga Polepole?Ulikuwa wanitafutia pande za wapi mkuu wangu?
Kuhusu hoja yako sina uhakika ila kwa kujumlisha moja na moja hiyo itakuwa haimo.
Kumbuka kitita kizima cha kufadhili ugaidi ni around 600,000/=.
Humo zimo pesa za nauli na hata za kununulia nguo kama incentives kwa mujibu wa shahidi kiongozi, mzee wa curable mistakes [emoji16][emoji16].
Shahidi wa Leo kala kona.Mkuu nisiache kukurejea kwenye hoja yako.
Kumbuka kama binadamu mbivu na mbichi tunazijua. Hatuwezi kujidanganya kuwa hatuzijui.
Askofu Dr. Bagonza anasema: "Sijui kutaga mayai, lakini yao bovu nalijua."
Sihitaji kuwa mtalaamu wa IT kulijua hilo. Hata kuigiza kujiridhisha? Shahidi wako ni huyu hapa:
View attachment 1996660
Ninakazia, "... kama radio cassette imemeza tape ..[emoji16][emoji16]"
Mtalaamu huyo?
Hiiiiii bagosha!
π€£π€£Sawa chawa wa CHADEMA na wa mh.Mbowe....kongole kwako nawe kwa kuunga mkono kila msimamo na juhudi za upande huo....
View attachment 1996652
Hivi wewe ni Frank, Fredy, Alfred Kapala au Kapara ? Maana wewe ni mbabaishaji na Unazidi kudanganya!Hapa umedanganya Mkuu.
Mkuu Brazaj.....Mkuu nisiache kukurejea kwenye hoja yako.
Kumbuka kama binadamu mbivu na mbichi tunazijua. Hatuwezi kujidanganya kuwa hatuzijui.
Askofu Dr. Bagonza anasema: "Sijui kutaga mayai, lakini yao bovu nalijua."
Sihitaji kuwa mtalaamu wa IT kulijua hilo. Hata kuigiza kujiridhisha? Shahidi wako ni huyu hapa:
View attachment 1996660
Ninakazia, "... kama radio cassette imemeza tape ..ππ"
Mtalaamu huyo?
Hiiiiii bagosha!
Wakala mwenyewe mweupe tu.Naambiwa leo ndio Tigo imestuka kwamba kumbe ilikuwa inafanya kazi na wakala wa Tiss
Kuna msemo usemao "kwenye shari huweza kupatikana heri..."Mkuu hatuungi mkono zote. Tunamwuunga mkono 100% Mh. Mbowe na wenzake kwenye kesi hii ya kubambikiziwa. Hata Sirro anajua hivyo. Bila shaka anatuelewa.
Kumbuka sisi ni hawa hapa?
Katiba Mpya: Kulikoni Makamanda na ndugu Wananchi Kusita Sita?
Unayaweza haya huko kwenu?
Sometimes you are right mkuu.Nataman Mbowe athibitishwe kuwa hana hatia lakin sio kwa approa h hiz za mihemko huku mitandaoni.Kwa hiyo kuwa Wakala wa TISS ndiyo kunaondoa credibility ya ushahidi wake Mahakamani?
Hivi ikitokea katika kesi hii wakaletwa pia watu wa Vodacom,Airtel na Hallotel (endapo Mh.Mbowe ana line za hiyo mitandao) bado utawatuhumu na wao pia?
Nadhani ni vema kujielekeza kwa kile alichokitolea ushahidi kama mleta mada alivyojikita katika mada yake na siyo hizi blah blah za Agent wa TISS,hazina msaada sana katika kesi hii.
Yanavyofanana sasa na k vant ya mamaako!ππ
Shahidi wa Leo kala kona.
Kwani wewe kwa uelewa wako yule shahidi umemchukulia kama lawyer au IT Person?Na kwa uelewa wako unadhan shahidi katoa ushahidi usioacha shaka wa kumtia mtu hatiani?Kwa hiyo kuwa Wakala wa TISS ndiyo kunaondoa credibility ya ushahidi wake Mahakamani?
Hivi ikitokea katika kesi hii wakaletwa pia watu wa Vodacom,Airtel na Hallotel (endapo Mh.Mbowe ana line za hiyo mitandao) bado utawatuhumu na wao pia?
Nadhani ni vema kujielekeza kwa kile alichokitolea ushahidi kama mleta mada alivyojikita katika mada yake na siyo hizi blah blah za Agent wa TISS,hazina msaada sana katika kesi hii.
Mkuu Brazaj.....
Narejea tena....kesi ikiwa mahakamani ni vyema ikaachwa iendelee....kinyume chake inawezekana "PANDE HASIMU" zikatanguliza HISIA + USHABIKI KOKO tu.....
Hebu kuwa mkweli....umeniquote ndugu Martin Maranja....ila pasi na shaka naye ANAKUWA SHABIKI TU....USHABIKI TU....USHABIKI WA KUCHUKUA UPANDE......
Ni hivi.....
Mahakamani hakuna tofauti na "chumba cha upasuaji"....sasa inashangaza nini na kipi kwa SHAHIDI kumumunya maneno/kutoa sauti ndogo/kukwama maneno/kupaliwa na mate/kukwaruzika koo?!!!!
Aaaagh Brazaj π€£