Kesi ya Mbowe: Thamani ya ushahidi wa shahidi #4 ni ipi?

Ameshindwa watambua watuhumiwa mahakamani

Maelezo yake sehem kubwa amepingana nayo/kuyakataa

Vitu walivyokamatwa navyo anapingana idadi na Kingai lkn pia anapingana na maelezo yake yeye mwenyewe kwa kutoa figure mbili tofaut


Kimsingi ushahidi wake n ushahidi ambao hauna mashiko

Sain alizo sain sehem nne tofaut hakuna inayofanana na nyenzie

Kwenye maelezo yake anaonyesha alisain sehem Moja tu ila leo anaiambia mahakama n sehem 4.. anaulizwa anasema imetokea tu

Mashahidi wote watatu so far ni matatizo tupu
 
Hapo wana ccm ndiyo wanaamini kuwa mh Mbowe akifungwa ndiyo cdm imekufa.
CDM haiwezi kufa kwa kukosekana kiongozi mwandamizi fulani kwa sababu roho ya uasi imeenea kwa watu mbalimbali na inaambukizana kwa kiwango kilekile kadri siku zinavyosonga mbele
 
Wakili ahoji kwanini wakati shahidi ameshajitega mwenyewe, kasema kuna wakati macho yake yanaona wakati mwingine hayaoni vizuri.

Sasa wakili akiamua kusema wakati shahidi anatazama watuhumiwa wakipekuliwa macho yake yalikuwa hayaoni vizuri atakuwa amekosea wapi?

Na kwa mtindo huo kuna haja gani ya kuagiza vyeti vyake? ili wakili wa utetezi ajitege mwenyewe? hebu fungua akili hiyo, zaidi, shahidi amekiri wakati watuhumiwa wanapekuliwa hakuwa amevaa miwani, mpaka hapo case closed.

Kama ana miwani maana yake ana matatizo ya macho, na ili aone vizuri lazima avae miwani ndio maana akapewa hospitalini baada ya kupimwa, kutokuivaa kwake eneo la tukio kumemaliza mjadala.
 
Huo ukweli utajulikana vipi bila ushahidi usiotia shaka au kujichanganya?
Ishu ni kwamba.
Ni kwamba ni kweli watuhumiwa walikamatwa na hyo bastola na hizo kete katika eneo hilo.
hayo mengine yanaweza yakawa makosa ya upelelezi na mashahidi.
Ila lengo hapo NI hyo bastola na hizo kete.na hao watuhumiwa Kama ni wenyewe
 
Ameulizwa maswali ya kufunika hili jambo

Hakuwai iambia mahakama au judge kama ana tatizo la kuona au ili aone vizuri anahitaj miwani , na ameitikia hajafanya hivyo

Malya kasogea hatua 7 kamuuliza vitu kajibu , kibatala kamwambia aangalie nje atajae anavyoona kataja pia kiufasaha, point yako inafia humo manake kafanyia majaribio hapo hapo mahakamani na watu wawili tofaut na kajibu vizuri
 
Wakili sio jaji, mwenye maamuzi ya mwisho ni jaji na hahitaji kuomba ushauri wa wakili kutoka upande wowote wenye maslahi na kesi elewa hilo mbona kichwa ngumu?
 
Sasa mbona hawajafunguliwa na kesi ya madawa ya kulevya!?
 
Wakili sio jaji, mwenye maamuzi ya mwisho ni jaji na hahitaji kuomba ushauri wa wakili kutoka upande wowote wenye maslahi na kesi elewa hilo mbona kichwa ngumu?
Nilichokuonesha hapo wakili lazima avutie upande wake na ndicho kilichofanyika, habari ya wakili sio jaji sijui umeitoa wapi, siku zote kazi ya wakili ni kumshawishi jaji.
 
Huyu shahidi hajisomi kabisa, naona ni chakuula ya jumanne au malewo, ukisikiliza kwa makini huyu hakuwepo eneo la tukio
 
Maelezo yake yaliandikwa kabla ya ukamataji.
 
Wakili sio jaji, mwenye maamuzi ya mwisho ni jaji na hahitaji kuomba ushauri wa wakili kutoka upande wowote wenye maslahi na kesi elewa hilo mbona kichwa ngumu?
Unaweza kuwa una hoja. Lakini pia hufichi mahaba yako na chuki yako kwa Mbowe..Waambieni hao Askari wenu heshima ya kazi yao ni pamoja na kutenda haki...
 
Utajuaje kuwa huyu hawezi kuchukua hongo na mmeenda kuvamia nae mmekutana nae hapo hapo...
 

Mkuu dakika 45 si za mahojiano. Hizo ni muda wa sekeseke la kuwakamata kuwakagua, kuorodhesha walivyokuwa navyo na kusainisha makaratasi ya awali ya mali.

Dakika hizi 45 ni za sehemu ya tukio hazijumuishi muda wa kuandikisha maelezo Central Moshi wala wa safari RAU - Central.

Hiiiiii bagosha.
 
Ishu ni kwamba.
Ni kwamba ni kweli watuhumiwa walikamatwa na hyo bastola na hizo kete katika eneo hilo.
hayo mengine yanaweza yakawa makosa ya upelelezi na mashahidi.
Ila lengo hapo NI hyo bastola na hizo kete.na hao watuhumiwa Kama ni wenyewe
Hilo ndilo linaloendelea kwenye dodoso za huyu shahidi #4. Tusubiri hitimisho la dodoso kwa huyu shahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…