Kesi ya Mbowe: Umuhimu wa Ushahidi wa Kaaya ni upi?

Yaani Kingai na Mahita kusema ukweli wanaonekana ndio wakuundugu Sana ktk jeshi hili
 
Tumuombee Mungu amtie nguvu, kwani ni wazi hukumu yake imeshaandikwa. Their hands are tied, and independence compromised for their bellies sake.

Mkuu, msimamo huu umekuwa very optimal katika kushughulika na watu kama hawa ambao haki na usawa haviwahusu:



Hawana utu wala ubinadamu. Si unaweza jipya ugonjwa wa moyo bure?
 
Yaani Kingai na Mahita kusema ukweli wanaonekana ndio wakuundugu Sana ktk jeshi hili

Hao ni katika wale wasiojulikana. Wanakuja aliko Moses Lijenje.

No wonder Jaji amemwomba radhi Kingai kwa kudodoswa pasipo na kutambua umuhimu wake katika jamii.

Labda ndiyo IGP ajaye.

Hiiiiii bagosha!

Ila wajue ipo siku - wala haiko mbali.
 
Nijibu vipi PGO iliwasaidia chochote?
Nyie mlisaidiwa na jaji kwa kufuata maoni yake badala ya sheria (PGO), mahakama za Tz siku hizi ni uwanja wa kutoa maoni na kutuma salamu kwa watu watatu.
 
Mkuu unaongelea haya kwa authority ipi ya kisheria au sheria ya wapi ku-justify your points
Huwezi nielewa. Labda nikuulize maelezo ya Kaaya yaliyotolewa Polisi yana umuhimu gani kwenye kesi dhidi ya maelezo anayotoa mbele ya Jaji? Hayo Maelezo aliyoyatoa Polisi yanahusiana na kukiri au?? Hayo Maelezo hayana uzito wowote!!
 
Huwezi nielewa. Labda nikuulize maelezo ya Kaaya yaliyotolewa Polisi yana umuhimu gani kwenye kesi dhidi ya maelezo anayotoa mbele ya Jaji? Hayo Maelezo aliyoyatoa Polisi yanahusiana na kukiri au?? Hayo Maelezo hayana uzito wowote!!
🤣 🤣 🤣 Wewe jamaa akili yako inafikirisha sana,siyo kila kitu huwa kinahitaji siasa,vingine vinahitaji common-sense ya kawaida,Kama vielelezo havina maana kwann vipokelewe mahakamani? Kwann sheria inatambua umuhimu wa sworn statements kwenye criminal proceedings kama hazina maana? sasa msingi wa cross examinations wewe unadhan ni nn au unahisi judge huwa anacheza makidamakida?
 
Uwezo wako ni mdogo sana. Ucku mwema.
 
Kwa ushahidi wake ni kuwa charge against Mbowe ni za kubumba, he did not witness Mbowe engaged in such stupid transactions!
Can we cal, him an adverse witness/hostile witness?

A hostile witness, also known as an adverse witness or an unfavorable witness, is a witness at trial whose testimony on direct examination is either openly antagonistic or appears to be contrary to the legal position of the party who called the witness.
 
Kesi kama hizi wapo watu unawakodi wanakutengenezea kila kitu...mnakaa miezi miwili mna practice mkimaliza mahakamani mtu hachomoki.
Usiseme hivyo, uzuri ni kuwa hujui utabandikwa maswali yapi ukapotea njia! Penye uongo ukweli utajitenga....
 

This is a case where in both testimony and direct examination, the witness openly appears contrary to the legal position of the party who called the witness.

Typical - unfavorable witness.
 
This is a case where in both testimony and direct examination, the witness openly appears contrary to the legal position of the party who called the witness.

Typical - unfavorable witness.
Kungelikuwa na mahakama huru, kesi imeisha..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…